Dar: Unaambiwa karibu guest zote zimejaa ujio wa Mkesha wa Mwamposa

Dar: Unaambiwa karibu guest zote zimejaa ujio wa Mkesha wa Mwamposa

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam.


1720080732084.png
#Ngoja tuone hiyo kesho.
 
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es salaam.

#Ngoja tuone hiyo kesho.
Anaenda kuwapiga mazezeta wa hili taifa na shuhuda fabricated
 
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es salaam.

#Ngoja tuone hiyo kesho.
sasa geust house ya nini tena na unakuja kukesha?🐒
 
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es salaam.

#Ngoja tuone hiyo kesho.
Ulitaka walale kwako au kwa ndugu zako
 
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es salaam.

#Ngoja tuone hiyo kesho.
Nakuja siwézi kukosa hii
 
eti mwamposa nae ni nabii! uswahilini kuna vituko
Mc Mshereheshaji ndio maana Hananja alistaafu uchungaji sasa ni Mc umemuona Pilipili ni Mc Masanja ni Mc Nwamposa ni Mc sio Nabii sio Mchungaji sio Mtume hayo majina ni kivumishi tu Ila ni Mc km Gala B ni Mc km Mpoki ni Mc km Dokta Cheni ni Mc km Zipompa ni Mc km Bi Mwenda

Kuita watu na kuwajaza ni kuendesha sherehe yake yeye ya kila siku kufuatia Maokoto zaidi maana hakuna Mc anaefanya shughuli bure Mc yule anapokea Maokoto kila anaposimama kuzungumza kuanzia alipokua na Spika 1 pale Sinza Bar 1 na Maiki yake akipiga kelele akilitaja Jina la Yesu wenye Pesa wakamuona wakawekeza Pesa kwake aendelee na uMC wake kwa hio Ile ni Biashara km Biashara zingine shtuka

Ushaelewa?
 
Ila Mwamposa ameiheshimisha sana Kawe wale wazee wa kula tunda kimasihara wanamuombea Mtumishi asije akaondoka eneo hilo.

Kuna siku niliona taarifa ya habari EATV imeripotiwa kutoka Kawe Mzimuni Kuna vijana wawili wamekodi chumba unaambiwa humo ndani wanavusha sana vidada vya Mwamposa basi kesi ishafika mpaka serikali za mtaa jamaa wameambiwa wahame, Kuna jirani mmoja anahadithia kwamba vidada vikiingiaga humo vinapiga mayowe sana mpaka kero hawajui humo ndani hao vijana wanawafanyia nini anadai Kuna siku binti mmoja alitoka humo chumbn akiwa na chupi tu huku akikimbia kama mwehu ila kilichonishangaza wale vijana waligoma kuhama mpaka mwenye nyumba kawatoleq vyombo vyao nje na wanasema watamshtaki mwenye nyumba
 
Mc Mshereheshaji ndio maana Hananja alistaafu uchungaji sasa ni Mc umemuona Pilipili ni Mc Masanja ni Mc Nwamposa ni Mc sio Nabii sio Mchungaji sio Mtume hayo majina ni kivumishi tu Ila ni Mc km Gala B ni Mc km Mpoki ni Mc km Dokta Cheni ni Mc km Zipompa ni Mc km Bi Mwenda

Kuita watu na kuwajaza ni kuendesha sherehe yake yeye ya kila siku kufuatia Maokoto zaidi maana hakuna Mc anaefanya shughuli bure Mc yule anapokea Maokoto kila anaposimama kuzungumza kuanzia alipokua na Spika 1 pale Sinza Bar 1 na Maiki yake akipiga kelele akilitaja Jina la Yesu wenye Pesa wakamuona wakawekeza Pesa kwake aendelee na uMC wake kwa hio Ile ni Biashara km Biashara zingine shtuka

Ushaelewa?
Mbona Wewe maskini jaribisha Hiyo biashara Si inalipa.
 
Back
Top Bottom