Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humo ndani wamo wanaojuwa.Nipo kwenye daladala
Sawa,Humo ndani wamo wanaojuwa.
unadhani watu wote wale wanaenda pale ili wanashangae mwaposa! hapana watu wanaenda sababu ya shida zao na wengine wanakuwa sawa sasa lazima watu waongezeke wengi!
si ndo me nashangaa?sasa geust house ya nini tena na unakuja kukesha?🐒
Watu ni wengi hakikaNjoo uone
Nenda ukauziwe Maneno uzuri unajitambua unasema "lazima ujibiwe na Mungu" sio "lazima ujibiwe na Mwoposa" sasa cha ajabu baada ya kumwomba Mungu Wewe km Wewe unakimbilia kwenda kuombewa na Mwoposa hivi kuna Mungu Fala kiasi hicho na Mwoposa ataombewa na nani? Yaan Mungu anapokea maombi yako Wewe km Wewe sasa inamaanisha Wewe huna uwezo wa kujiombea mpaka ukimbilie kwa Mwoposa? Means Mwoposa ni mbadala wa Mungu kwako yaan akitoka Mwoposa anakuja Mungu? Umemuona Mungu Fala si ndio?
Oooh Mungu wangu umerudi tena? Mtoto anataka
Kumbe alianza na spika moja?? Basi kweli Mungu hamtupi mja wakeMc Mshereheshaji ndio maana Hananja alistaafu uchungaji sasa ni Mc umemuona Pilipili ni Mc Masanja ni Mc Nwamposa ni Mc sio Nabii sio Mchungaji sio Mtume hayo majina ni kivumishi tu Ila ni Mc km Gala B ni Mc km Mpoki ni Mc km Dokta Cheni ni Mc km Zipompa ni Mc km Bi Mwenda
Kuita watu na kuwajaza ni kuendesha sherehe yake yeye ya kila siku kufuatia Maokoto zaidi maana hakuna Mc anaefanya shughuli bure Mc yule anapokea Maokoto kila anaposimama kuzungumza kuanzia alipokua na Spika 1 pale Sinza Bar 1 na Maiki yake akipiga kelele akilitaja Jina la Yesu wenye Pesa wakamuona wakawekeza Pesa kwake aendelee na uMC wake kwa hio Ile ni Biashara km Biashara zingine shtuka
Ushaelewa?
Ni kazi ya Wadhamini na Mameneja wale walikua wanapiga Tungi pale Sinza enzi hizo anawapigia kelele pale bar anapewa airtime ya kuhubiri lisaa limoja na Spika yake 1 sasa baadhi wamejiunga wakaanza kumsimamia wakamnunulia maspika na kila kitu kwa hio wapo nyuma yake Wewe unamuona mbele tu nyuma kuna watu wameweka Pesa zao tangu kipindi hicho ni Biashara Ile km Biashara zingineKumbe alianza na spika moja?? Basi kweli Mungu hamtupi mja wake
Hata Yeye muweza wa yote alisema riziki ni kama mvua anawanyeshea wema na waovu na wakati na bahati huwapata wote bila kujali ni waovu au la
Yote kwa yote, Mungu anajua kweli ama hila ya kila mmoja nae atapewa stahili zake kwa kadri ya matendo yake
Unambiwa na nani?Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.
Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.
Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam.
#Ngoja tuone hiyo kesho.
tena anawapiga hasa huyu mfanyabiashara, hapo anasibiri mapato mazuri kwa bidhaa yake unayouza [emoji53]Anaenda kuwapiga mazezeta wa hili taifa na shuhuda fabricated