Dar: Unaambiwa karibu guest zote zimejaa ujio wa Mkesha wa Mwamposa

Dar: Unaambiwa karibu guest zote zimejaa ujio wa Mkesha wa Mwamposa

Ni wajinga tu hao wanaenda kuliwa fedha zao, ili mlaji akajenge hotel na majumba ya kisasa kule kwao Mbeya.
 
Kuna mkesha Mkubwa sana hapo unaitwa HAUTASAHAULIKA. KUFIKA NI UHAKIKA HAUTASAHAULIKA. Mkesha ni kesho mkuu ila tangu jumatatau watu kutoka mataifa mbalimbali wameshajaa pale.

Ni mkesha wa kimataifa unakusanya watu si chini ya laki tano kwa wakati mmoja. Maji yameuzwa pale zaidi ya Contena Nne za FT 12.
Mafuta yameuzwa pale si kawaida

Kwa mujibu a Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam kila siku wanazaliwa watoto 200.

Kwa mujibu wa DALALI MKUU wajinga wanazaliwa kila siku, nchini, hawaishi na hawataisha. Ukishindwa kujiombea njoo tukuombee utulipe.
 
unadhani watu wote wale wanaenda pale ili wanashangae mwaposa! hapana watu wanaenda sababu ya shida zao na wengine wanakuwa sawa sasa lazima watu waongezeke wengi!
 
Nenda ukauziwe Maneno uzuri unajitambua unasema "lazima ujibiwe na Mungu" sio "lazima ujibiwe na Mwoposa" sasa cha ajabu baada ya kumwomba Mungu Wewe km Wewe unakimbilia kwenda kuombewa na Mwoposa hivi kuna Mungu Fala kiasi hicho na Mwoposa ataombewa na nani? Yaan Mungu anapokea maombi yako Wewe km Wewe sasa inamaanisha Wewe huna uwezo wa kujiombea mpaka ukimbilie kwa Mwoposa? Means Mwoposa ni mbadala wa Mungu kwako yaan akitoka Mwoposa anakuja Mungu? Umemuona Mungu Fala si ndio?

Duu
 
Mc Mshereheshaji ndio maana Hananja alistaafu uchungaji sasa ni Mc umemuona Pilipili ni Mc Masanja ni Mc Nwamposa ni Mc sio Nabii sio Mchungaji sio Mtume hayo majina ni kivumishi tu Ila ni Mc km Gala B ni Mc km Mpoki ni Mc km Dokta Cheni ni Mc km Zipompa ni Mc km Bi Mwenda

Kuita watu na kuwajaza ni kuendesha sherehe yake yeye ya kila siku kufuatia Maokoto zaidi maana hakuna Mc anaefanya shughuli bure Mc yule anapokea Maokoto kila anaposimama kuzungumza kuanzia alipokua na Spika 1 pale Sinza Bar 1 na Maiki yake akipiga kelele akilitaja Jina la Yesu wenye Pesa wakamuona wakawekeza Pesa kwake aendelee na uMC wake kwa hio Ile ni Biashara km Biashara zingine shtuka

Ushaelewa?
Kumbe alianza na spika moja?? Basi kweli Mungu hamtupi mja wake


Hata Yeye muweza wa yote alisema riziki ni kama mvua anawanyeshea wema na waovu na wakati na bahati huwapata wote bila kujali ni waovu au la

Yote kwa yote, Mungu anajua kweli ama hila ya kila mmoja nae atapewa stahili zake kwa kadri ya matendo yake
 
Kumbe alianza na spika moja?? Basi kweli Mungu hamtupi mja wake


Hata Yeye muweza wa yote alisema riziki ni kama mvua anawanyeshea wema na waovu na wakati na bahati huwapata wote bila kujali ni waovu au la

Yote kwa yote, Mungu anajua kweli ama hila ya kila mmoja nae atapewa stahili zake kwa kadri ya matendo yake
Ni kazi ya Wadhamini na Mameneja wale walikua wanapiga Tungi pale Sinza enzi hizo anawapigia kelele pale bar anapewa airtime ya kuhubiri lisaa limoja na Spika yake 1 sasa baadhi wamejiunga wakaanza kumsimamia wakamnunulia maspika na kila kitu kwa hio wapo nyuma yake Wewe unamuona mbele tu nyuma kuna watu wameweka Pesa zao tangu kipindi hicho ni Biashara Ile km Biashara zingine
 
Yakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.

Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.

Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam.

#Ngoja tuone hiyo kesho.
Unambiwa na nani?

Wajinga ndiyo waliwao.
 
 

Na ugaidi wangu na hasira zote za walokole mavi, lakini naweza kwenda kumsilikiza huyu mchungaji Hananja
Kwanza ile lafudhi yake inakumbusha maisha ya uswahilini temeke, miaka ile nasoma, halafu mhuni fulani unaweza ukamsilikiza maana huwa haongei pumba


 
Back
Top Bottom