tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 21,329
- 28,063
Yanii inashangaza sneti mwamposa nae ni nabii! uswahilini kuna vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanii inashangaza sneti mwamposa nae ni nabii! uswahilini kuna vituko
Kama ni mkesha guest house za kazi ganiYakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.
Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.
Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam.
#Ngoja tuone hiyo kesho.
watu ni wengi sana nadhani kama hujafika njooYakiwa yamesalia masaa kadhaa kufika kwenye mkesha mkubwa wa CHAKO LAZIMA KIWE CHAKKO.
Kila ninapouliza sehemu ya kulala naambiwa imejaa nijaribu sehemu nyingine.
Sijajua huo mkesha utakuwa na watu wengi kiasi gani ila wageni ni wengi sana hapa Dar es Salaam.
#Ngoja tuone hiyo kesho.
Tunapona sana tuKwa waliowahi kwenda, hivi ni kweli watu wanapona? Natamani siku niende nishuhudie maana huwa najiuliza sana lile nyomi wanafata kitu gani hasa ni hiyo miujiza tunayoaminishwa ama kuna lingine.
Mungu akisema kukubariki anakubariki sanaNdio inalipa humuoni Jamaa alianza na Spika 1 pale Sinza walevi wakampa mtaji wakamwamisha na eneo leo ana Spika 100, una lingine la kuniambia Wewe Masikini
Mambo ni Yesu tuKajaribu na Wewe Mzee wa West
Daaah ila sio hawa wanaomtafuta Yesu mchana na UsikuIla Mwamposa ameiheshimisha sana Kawe wale wazee wa kula tunda kimasihara wanamuombea Mtumishi asije akaondoka eneo hilo.
Kuna siku niliona taarifa ya habari EATV imeripotiwa kutoka Kawe Mzimuni Kuna vijana wawili wamekodi chumba unaambiwa humo ndani wanavusha sana vidada vya Mwamposa basi kesi ishafika mpaka serikali za mtaa jamaa wameambiwa wahame, Kuna jirani mmoja anahadithia kwamba vidada vikiingiaga humo vinapiga mayowe sana mpaka kero hawajui humo ndani hao vijana wanawafanyia nini anadai Kuna siku binti mmoja alitoka humo chumbn akiwa na chupi tu huku akikimbia kama mwehu ila kilichonishangaza wale vijana waligoma kuhama mpaka mwenye nyumba kawatoleq vyombo vyao nje na wanasema watamshtaki mwenye nyumba
Mungu akusaidie na wewe ufikeMc Mshereheshaji ndio maana Hananja alistaafu uchungaji sasa ni Mc umemuona Pilipili ni Mc Masanja ni Mc Nwamposa ni Mc sio Nabii sio Mchungaji sio Mtume hayo majina ni kivumishi tu Ila ni Mc km Gala B ni Mc km Mpoki ni Mc km Dokta Cheni ni Mc km Zipompa ni Mc km Bi Mwenda
Kuita watu na kuwajaza ni kuendesha sherehe yake yeye ya kila siku kufuatia Maokoto zaidi maana hakuna Mc anaefanya shughuli bure Mc yule anapokea Maokoto kila anaposimama kuzungumza kuanzia alipokua na Spika 1 pale Sinza Bar 1 na Maiki yake akipiga kelele akilitaja Jina la Yesu wenye Pesa wakamuona wakawekeza Pesa kwake aendelee na uMC wake kwa hio Ile ni Biashara km Biashara zingine shtuka
Ushaelewa?
Mungu huwatoa watu majalalaniHuyu ni mpigaji kama wapigaji wengine tu
Hebu jaribu na wewe ndg yanguTanzania hii ukifa maskin ni umeamua tu kwa uzembe wako. Kama tapeli huyu anaweza kupata ubilionea kwa staili hii , je wewe ni nani usiukwae ubilionea.
Anzisha na wewe kituo chakoHapo ukikusanya sadaka wiki nzima si unaenda kununua Bugatti
Karibu sana mkuuNakuja siwézi kukosa hii
Tena ni nabii wa Kímataifaeti mwamposa nae ni nabii! uswahilini kuna vituko
Kuacha dhambi ni neemaKukanyaga mafuta na kula keki ya upako hawajambo ila dhambi hawaachi.
Nabii yeyote asiyeleta impact katika maisha ya kiroho hajatumwa na Mungu.
Muda wa kafara umewadia.Nimepita hapa Kawe umati ni mkubwa sana wa watu.
Kuna nini?
Nitajaribu kwa staili nyingine. Hio yenu endeleeni nayo. Muda wa kafara umewadia.Hebu jaribu na wewe ndg yangu