Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari leo Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Viongozi wa dini gani?
 
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari leo Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
Kuna mtume mwanamke ktk ukiristo?
 
Wanaombea uchaguzi au wanamuombea mmoja wa wagombea wa huo uchaguzi?
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari leo Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
 
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari leo Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
Hebu acheni unafiki, msijihusishe na mtu ombeni kusudi la Mungu lisimame, Mungu ndio achague mwenyewe shwain. Mungu ndiye atupatue kwa hiyo mtaka kumlazimisha Mungu afanye mtakavyo? Au mmepewa helaaa? Yaan watumishi gani ninyi? Hamjua kuhusu habari za Sauli? Walimlazimisha Mungu akawapa mtu aliyekuwa mwiba kwao. Nyie ombeni Mungu aachilie mtu atakaeiongoza Tanzania na watu kumfurahia. Hamkuweka ulinzi wakati wa Magufuli hadi akaondoka, na mlioe gharama hiyooo. Sina chama ila nataka kusudi la Mungu ndio lisimame, siombei mtu mimi naomba mapenzi ya Mungu yasimame
 
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
Wajae kwa wingi uwanjani hapo, katikati ya ibada radi iwachape hadi wajue kwamba Mungu hadhihakiwi.
 
Hebu acheni unafiki, msijihusishe na mtu ombeni kusudi la Mungu lisimame, Mungu ndio achague mwenyewe shwain. Mungu ndiye atupatue kwa hiyo mtaka kumlazimisha Mungu afanye mtakavyo? Au mmepewa helaaa? Yaan watumishi gani ninyi? Hamjua kuhusu habari za Sauli? Walimlazimisha Mungu akawapa mtu aliyekuwa mwiba kwao. Nyie ombeni Mungu aachilie mtu atakaeiongoza Tanzania na watu kumfurahia. Hamkuweka ulinzi wakati wa Magufuli hadi akaondoka, na mlioe gharama hiyooo. Sina chama ila nataka kusudi la Mungu ndio lisimame, siombei mtu mimi naomba mapenzi ya Mungu yasimame
Nawaza je MUNGU akimpeda kabla ya 25 Oct itakuwaje


Tuache kumdhihaki Muumba
 
Hamna kitu pale ni abrakadabra za kisiasa tu wala Mungu hahusiki na upuuzi huo wa kisiasa
 
Iwe masheikh au wachungaji au mapadri au mitume na manabi watakaoomba maombi hayo ni wapuuzi na hawapaswi kulitaja jina la Mungu katika upuuzi wao. Wasimuhusishe Mungu kwenye siasa uchwara zao, na Mungu hahusiki na hayupo pamoja nao wanajeendea tu wenyewe wakifuata mawazo yao. Wanakufuru na kujitakia laana
 
Dahhhhh🤣🤣🤣🤣 nimelia sana:BearLaugh: kweli tumewachoka kunguni na wafuasi wao
Mungu atende haki kwa damu ya Mzee Kibao na wengine wengi walikuwa wa, kutekwa, kuteswa na kupotezwa nchini chini ya utawala wa huyu dhalimu wanayeenda kumuombea.

Mungu aliye hakimu wa haki, acha ajidhihirishe ukuu wake na mamlaka yake na utukufu wake siku hiyo, kwamba yeye ni MTAKATIFU sana na haambatani na uovu.
 
Hao wote wamepokea bahasha ya mama wanazifanyia kazi sasa. Kuhani Mwasha alilamba 100m toka kwa maza.
Kodi zetu zinatumika kiboya sana.
 
Back
Top Bottom