Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mungu atende haki kwa damu ya Mzee Kibao na wengine wengi walikuwa wa, kutekwa, kuteswa na kupotezwa nchini chini ya utawala wa huyu dhalimu wanayeenda kumuombea.

Mungu aliye hakimu wa haki, acha ajidhihirishe ukuu wake na mamlaka yake na utukufu wake siku hiyo, kwamba yeye ni MTAKATIFU sana na haambatani na uovu.
Mama analindwa na majini. Siyo wa mchezo mchezo 😁😁😁🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️

Screenshot_20250203_164957_Gallery.jpg
 
Iwe masheikh au wachungaji au mapadri au mitume na manabi watakaoomba maombi hayo ni wapuuzi na hawapaswi kulitaja jina la Mungu katika upuuzi wao. Wasimuhusishe Mungu kwenye siasa uchwara zao, na Mungu hahusiki na hayupo pamoja nao wanajeendea tu wenyewe wakifuata mawazo yao. Wanakufuru na kujitakia laana
Umenena
 
Sema kuwa kutakuwa na maombi ya kumwombea mtu atangazwe hata kama hatashinda, yatakayoendeshwa na matapeli wanaotumia dini kutimiza azma zao chafu.

Viongozi wa kweli wa dini, wataombea uchaguzi uwe wa haki na amani, na mwenye dhamira chafu kama vile kuiba kura, kuwahonga wapiga kura au kutumia vyombo vya dola kupokonya haki ya wapiga kura, mkono mrefu wa Mungu umfikie.
 
Kiukweli nyumbu wako kwenye mateso sana. Mpaka anaondoka huyu mama, mbona nyumbu waipata fresh....
 
Wakuu,

Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.

====

Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.

Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

View attachment 3224600
Sikumbuki mara ya mwisho kusikia Japan, Russia, Norway, China au Singapore wakifanya "maombi" na bado wako mbele sana kiuchumi. Ni vyema sasa hawa "watumishi" watafute kujua hizo nchi wanaomba kwa nani hasa!
 
Hao sio kwamba wanapanga au wanaamua wenyewe bali wanashawishiwa au wanatumwa kufanya hivyo na mwisho wa siku wanapewa bahasha nono nono kwa maigizo Yao hayo.
 
Back
Top Bottom