Samia ni Mara 1000 kuliko mashoga ya ubelgijiIwe masheikh au wachungaji au mapadri au mitume na manabi watakaoomba maombi hayo ni wapuuzi na hawapaswi kulitaja jina la Mungu katika upuuzi wao. Wasimuhusishe Mungu kwenye siasa uchwara zao, na Mungu hahusiki na hayupo pamoja nao wanajeendea tu wenyewe wakifuata mawazo yao. Wanakufuru na kujitakia laana
msilete mzaha kuchanganya siasa na dini mtaonekana ni wapuuziSamia ni Mara 1000 kuliko mashoga ya ubelgiji
Huwezi kuwaonaNasubiri kwa hamu nione Maaskofu/Mapadre wa Katoliki na elimu yao ya falsafa na teolojia kama nao wapo kwenye huo mkumbo. Kwa Masheikh wa Bakwata, Maaskofu wa KKKT, Manabii na mitume uchwara; no comment.
Huyo mpuuzi ni kimada wa Sultan Mbowe hadi leo anaomboleza danga lake kupigwa KO.msilete mzaha kuchanganya siasa na dini mtaonekana ni wapuuzi
Hao sio viongozi wa dini ni mapapa wa madawa ya kulevya na wasafirishaji haramu wa binadamu waliojificha kwenye mwavuli wa diniWakuu,
Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.
====
Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.
Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
Hapo huwezi kuta padre au askofu wa Roman, hapo utawakuta wale wengine wanaosemaga Achea achea ache , moto puuuuuuWakuu,
Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.
====
Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.
Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
wasifanye mzaha kwa Mungu wataumbukaHao sio viongozi wa dini ni mapapa wa madawa ya kulevya na wasafirishaji haramu wa binadamu waliojificha kwenye mwavuli wa dini
Maombi ni jambo la imani, na ni baina ya muomba na muombwa. Mtu anaomba kwa kuwa ana uhitaji wa ombi hilo aliombalo. Kwenye kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi kuna wagombea mbalimbali ambao pamoja na kufanya mchakato wa kushindana pia wanahitaji msaada wa Nguvu Kuu ili waweze kushinda au hata kumaliza uchaguzi kwa salama. Hivyo ikiwa kuna chama kitaweza kushawishi raia ili wakipigie kura na mwishowe washinde, viongozi wa chama husika na kamati zao hawana budi kufanya mikakati maalum hata ikiwa kutawatafuta viongozi wa imani tofauti katika kufanikisha suala hilo. Watanzania tunajuana ni wazuri wa kutumia nguvu za giza ili tufanikishe tuyatakayo.Wakuu,
Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.
====
Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.
Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
wasifanye mzaha kwa Mungu wataumbukal
Roman Catholic wamo,maana hao ndiyo wanaojitambua, waliobaki wengine ni chawaWakuu,
Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.
====
Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.
Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600
Zumaridi sio mtumie ni Mungu!!!Yupo, zumaridi.
Si ndio hapo, ya viongozi wa Dini siku hizi wanapenda hela jaman, yaan haji kukutembelea kwako kama huna helaNawaza je MUNGU akimpeda kabla ya 25 Oct itakuwaje
Tuache kumdhihaki Muumba
Nachukia mimi jamanLabda abdul kawafikia.
Tatizo mama kalaanika hivyo ana anhaika kufuta laana ila wapi.Wakuu,
Yaani kila mtu anapigana kuwa chawa😂😂, tutafika Oktoba 25 tukiwa tumechoka sana.
====
Viongozi wa dini wamesema wanatarajia kufanya maombi maalum ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan ili Mungu amtie nguvu katika utendaji wake wa kazi na mambo anayotarajiwa kufanya katika kipindi cha uongozi wake.
Wamesema hayo wakati walipokuwa wanazungumza na waandishi wa habari jana Februari 3, 2025 na kuongeza kuwa maombi hayo yatafanyika 22, Februari 2025 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
View attachment 3224600