Pre GE2025 Dar: Viongozi wa Dini kufanya maombi kwaajili ya Rais Samia kuelekea Uchaguzi 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Samia ni Mara 1000 kuliko mashoga ya ubelgiji
 
Hao sio viongozi wa dini ni mapapa wa madawa ya kulevya na wasafirishaji haramu wa binadamu waliojificha kwenye mwavuli wa dini
 
Hapo huwezi kuta padre au askofu wa Roman, hapo utawakuta wale wengine wanaosemaga Achea achea ache , moto puuuuuu
 
Hata wakiomba siyo lazima Mungu ajibu kama walivyoomba!
Kuna wengine wanaomba CCM itolewe madarakani na hao Mungu anasikia maombi yao!
Katika yote Mungu hujibu atakavyo! Yeye hapangiwi.
 
Maombi ni jambo la imani, na ni baina ya muomba na muombwa. Mtu anaomba kwa kuwa ana uhitaji wa ombi hilo aliombalo. Kwenye kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi kuna wagombea mbalimbali ambao pamoja na kufanya mchakato wa kushindana pia wanahitaji msaada wa Nguvu Kuu ili waweze kushinda au hata kumaliza uchaguzi kwa salama. Hivyo ikiwa kuna chama kitaweza kushawishi raia ili wakipigie kura na mwishowe washinde, viongozi wa chama husika na kamati zao hawana budi kufanya mikakati maalum hata ikiwa kutawatafuta viongozi wa imani tofauti katika kufanikisha suala hilo. Watanzania tunajuana ni wazuri wa kutumia nguvu za giza ili tufanikishe tuyatakayo.
Ningependa kutoa ombi kwa kila mtanzania, haya maombi ysiishie kwenye uchaguzi bali tuyafanye kila siku ili tupate maisha mazuri na uchumi wetu ukue, ajira zipatikane, hospitali zetu zitoe matibabu bora na taasisi zetu za elimu zitoe elimu bora, haya mambo yakiimarika na usalama wa nchi utakuwa wa hali ya juu na tutaweza kuwa nchi yenye uchumi wa juu.
 
Roman Catholic wamo,maana hao ndiyo wanaojitambua, waliobaki wengine ni chawa
 
Nawaza je MUNGU akimpeda kabla ya 25 Oct itakuwaje


Tuache kumdhihaki Muumba
Si ndio hapo, ya viongozi wa Dini siku hizi wanapenda hela jaman, yaan haji kukutembelea kwako kama huna hela
 
Tatizo mama kalaanika hivyo ana anhaika kufuta laana ila wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…