Acha kujisahaulisha Hamna ata mji mmoja wa south mnauzidi kwa lolote yani apo uhalisia ni cape town,jozi,Pretoria, Durban ndio badae korogocho yenu ipate nafasi uko ...Abidjan ndio nn?iyo list ata mm naweza kuipanga vile natakapengine niwarahishie kazi
The Most Beautiful Cities in Africa
Weka wewe sisi upumbavu wa vs wanyie wakenya sisi atupendi. Niujinga namnajizalilisha sana. Kenya vs Uganda, Kenya vs Nigeria, Kenya vs Tanzania. Mnacho kitafuta hamtokipataweken picha bwana
Yenyewe logos inafanana na kariakoo tu,majengo ni matano tu na yako avenue moja
Weka wewe sisi upumbavu wa vs wanyie wakenya sisi atupendi. Niujinga namnajizalilisha sana. Kenya vs Uganda, Kenya vs Nigeria, Kenya vs Tanzania. Mnacho kitafuta hamtokipata
Nairobi..lol! this is the city you are always crying abt here....hii bado sana...is this ur best pics? yaani nimecheka sana...ila pengine nakuonea leta the best pics nami nilete za Lagos ama Nairobi...chagua...alafu uwache matusi...fala ni nani?
Plz come again i did not see any thing from DSM
...and What did u see from your Mega City Nairobi?Plz come again i did not see any thing from DSM
Kumbe ubora wa mji unapimwa kwa muktadha wa usafi!?
Basi kama ni hivyo Moshi ni zaidi ya Detroit.
Tall scrapers scattered all over the city...and What did u see from your Mega City Nairobi?
Lakini ukiangalia kwenye site yake kuna sehemu wameweka link ya kudownlod hyo wanayoita ni official app! Sasa jitie wazimu ufuate hiyo link utakoma!Oga
Seun anastahili kuwa na app by now!! Sijui nini kinachomtatiza, labda kuna mtu anayetaka bakshish kubwa kuputiliza au anaogopa ma 419 na hackers ambapo wanaija ni kiboko yao. Kiukweli naona level ya majadiliano yapo juu kuliko ya humu JF, kitovu cha watoa povu! Duh!
He he heeee, ukienda direct play store utapata more than ten similar appsApp iko, tafuta tu kwa play store. Lakini my experience there...argh!
Mkuu tumia akili yako ya kuzaliwa japo hata kidogo......hivi umewahi kufika Lagos mkuu? Pale katikati ya jiji kuna nyumba za hajabu yaani Tandale kwa kina Diamond afadhali, halafu sasa huo uchafu ndio usiseme. Yaani fananisha mjini hapa Bongo (stesheni) kuwe na jalala la hajabu na harufu isiyo na mfano na nyumba kibao za udongo na zenye mabati ya kutu zimezagaa kila kona katikati ya jiji, umeipata hiyo picha? Je, Bongo iko hivi? Kwa hapa Afrika mashariki slums kama hizi zipo pale Nairobi (Kibera) tu.
Hahaha hadi watalii wamekuja kujionea maajabu ya dunia.Kenge wewe usitujaze ufala .Nairobi hii hapa. Kenge nyagau wewe.Bisha kama hii sio Nairobi. Naombeni mniachae huyu jamaa Jay456watt nimalizane nae. Asikimbie leo.Mji mchafu Africa had I unavutia tourist kuja kuangalia uchafu wa NairobiView attachment 538151 View attachment 538150 View attachment 538149 View attachment 538148
Nadhani unauliza maswali kulingana na standards zako binafsi.Mkuu wakati nakujibu reply yako nimekupa mfano mdogo tu wa kueleweka kulingana na muktadha wa comparison yako kati ya moshi Detroit, lakini naona kabisa wewe ndio umetumia akili za usingizini na hata kushindwa kung'amua nilichokimaanisha.
Na hiii comment yako bado ni mwendelezo wa kile kile nilichokujibu awali, naona hata haujui ubora/advancement ya majiji unalinganshwa kwa kuzingatia vigezo gani, umekomaaa tu "slums" "slums".... Kama ndio hicho ndio kigezo chako basi Detroit ni mji mchafu sana unazindiwa mbali sana mkoa wa Moshi uliopo Tanzania kwa usafi. Kwa mantiki hiyo basi kwa mujibu wa vigezo vyako Moshi ni zaidi ya Detroit, yaani Moshi pameendelea sana kuliko Detroit huko nchini Marekani. Kitu ambacho kwa ni illogical fallacy kwa mtu yeyote aliye timamu.
Unapolinganisha ubora wa majiji angalia anza na vitu kama uzalishaji,miundo mbinu,huduma za kijamii,idadi ya watu na uchumi kwa ujumla.
Sasa labda nikuulize tofauti na usafi.
Je, Dar inaifikia hata nusu GDP ya Lagos?
Je,Dar ina viwanda sawa na Lagos?
Je,Miundo mbinu iliyopo Lagos unaweza ukalinganisha na Dar?
Je,unajua population ya Lagos ni na sawa na ya mikoa mingapi ya Tanzania kwa ujumla?
Je, kwenye entertainment,elimu,vituo vya kazi utailinganisha Dar na Lagos?
Hivi kwanza unajua " slums" zinasababishwa na nini?
Waafrika wengi ni mambumbumbu kuhusu bara lao, sio wanigeria tu. Hawana official app.Lakini ukiangalia kwenye site yake kuna sehemu wameweka link ya kudownlod hyo wanayoita ni official app! Sasa jitie wazimu ufuate hiyo link utakoma!
By the way, mapovu hata kule yapo, tena mengi tu! Ambacho wanaija wengi wanakosa ni exposure, wanajua nchi yao tu, wanaojua nje ni wachache kwenye ile forum!
Tena kwa nchi hizi za kusini mwa jangwa la sahara hawana idea yoyote! Wao wanajua Ghana tu na SA!
Usishangae mniger akakwambia hajui Switzerland ni nchi iko wapi
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Wewe unataka niwe na standards gani?Nadhani unauliza maswali kulingana na standards zako binafsi.
Je uzuri wa mji unapimwa kwakuwa na viwanda vingi!?
Leta standard za ukweli sawa!?
Nataka standard za kisomi zilizofanyiwa research. Sio zako hizi zimejaa njaa tupu.Wewe unataka niwe na standards gani?
Na zako ni zipi?
Acha kujibu kama umejaza makamasi kichwani badala ya ubongo!Nataka standard za kisomi zilizofanyiwa research. Sio zako hizi zimejaa njaa tupu.