Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mitaro yote imeziba kwa vile machinga wameruhusiwa kufanya watakavyoHuo mda Wa kujadili kumng'oa meya wangeutumia kutatua kero za uchafu katika jiji ingesaidia sana
Ninaamini, mikutano ni ya salama na amani zaidi bila ya uwepo wa Polisi. Polisi kwenye mikutano wamekuwa ni sehemu ya uharibifu wa amani.Kazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawalinda ccmKazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanahangaika kumng'oa meya badala kushughulika na tatizo la ajira.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hao polisi hatuwaoni masokoni, kwenye nyumba za ibada, au maofisini, ili tujue wana ulazima wakuwepo kwenye mikusanyiko?
Nchi itayumba.
Wahuni ni maccm,ndio waanzilishi wa huo mtafaruku,na imeshakuwa ni kawaida yao,kwa hiyo ni bora tuwaseme wazi bila kuficha,wahuni maccm na hako kakurugenzi ka jiji,ndiko kalikotengeneza mpango wa kufoji jina la mjumbe ambae hakuwepoPicha ile imetupa picha moja kubwa muhimu.BARAZA LA MADIWANI inapofika hatua ya kupigania maslahi ya vikundi au vyama (sio wananchi), hugeuka na kuwa GENGE LA WAHUNI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Imetuacha mno! Imagine! Tunarundikana airport kupokea ndege mpya! Trickle-down stupidity.Sisi tunaendelea kusifia Terminal 3 kwa kufunga mataa ya kichina ! hakika dunia ishatuacha kabisa !
ππππImetuacha mno! Imagine! Tunarundikana airport kupokea ndege mpya! Trickle-down stupidity.
..wazazi wenye watoto wa kiume wanaokaribiana kiumri nadhani watanielewa.
..wakati mwingine dawa ya kukomesha mizozo na magomvi kati ya watoto wa kiume ni kuwaacha wapigane mpaka wachoke na kuishiwa nguvu.
..baada ya hapo utaona hawazozani na kugombana kwani wanajua hakuna wa kuwaamua kama ilivyokuwa zamani. Kila mmoja atakuwa anakumbuka kichapo alichopokea toka kwa nduguye.
..sasa nirudi kwa waheshimiwa sana MADIWANI WA JIJI.LA DSM. Nadhani Polisi wameingilia kuamua ugomvi wa madiwani zaidi ya mara mbili.
..Mimi nashauri siku nyingine Polisi wasitokee kabisa kama watapata taarifa za vurugu ktk mkutano wa madiwani.
..Madiwani waachwe watwangane, watoane meno, wavunjane miguu, wavuane nguo...Shauri yao! Hawa ni watu wazima lakini wana-behave kama wahuni au vibaka.
..Hebu fikiria baada ya UPUMBAVU ule huenda MADIWANI walilipana POSHO ya kikao.
NB.
..Suala la kumuwajibisha Meya wa jiji la Dsm halikupaswa kupelekwa kwa misingi ya vyama.
..Ilipaswa madiwani wa chama tawala na wapinzani wachukue uamuzi wa pamoja, kumuadhibu, au kutomuadhibu, mstahiki meya.