Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,513
Asante ndugu yangu, na wewe Heri ya mwaka mpya huko uliko. Niliamini kimakosa kwamba tungeuanza mwaka mpya kwa Uongozi wa Tanzania kuacha ushamba na ulimbukeni...nilikuwa naota tu, kaniki asili yake!Mkuu Heri ya mwaka mpya ikufikie huko uliko
Ushamba huwa uondoki kirahisi.Asante ndugu yangu, na wewe Heri ya mwaka mpya huko uliko. Niliamini kimakosa kwamba tungeuanza mwaka mpya kwa Uongozi wa Tanzania kuacha ushamba na ulimbukeni...nilikuwa naota tu, kaniki asili yake!
Ccm wamezoea kughushi taarifaAmedhalilika mchana kweupe. Hii ni baada ya kufoji jina ili apate akidi ya kutosha kumuondoa Meya halali Mh Isaya Mwita ili kuisaidia CCM kwa maelekezo ya Makonda.
View attachment 1317369
View attachment 1317357
Sema katumwa kishamba sana !
Safari hii wamedhalilika kishamba sana !Ccm wamezoea kughushi taarifa
Amedhalilika mchana kweupe. Hii ni baada ya kufoji jina ili apate akidi ya kutosha kumuondoa Meya halali Mh Isaya Mwita ili kuisaidia CCM kwa maelekezo ya Makonda.
View attachment 1317369
View attachment 1317357
Kuna siku watamuua yule kinara wao yeye ataoza kaburini wewe utabaki unaomboleza. RIP Babu yangu Mwamwindi
Mbona wewe hujaamuka?Hii ni hatari kwa viongozi wote wa kuteuliwa mkoani Dar kuwa mabingwa wa kufoji...mara huyu kafoji vyeti, mwingine kafoji majina lakini cha ajabu wanadunda tu. Viongozi wanaochaguliwa na wananchi msikubali katu kila siku kudhalilishwa na na hawa washamba na limbukeni. Amkeni wakazi wa Dar, hali kama hii hamwezi kuiruhusu iendelee. Kuna siku mtaamka mtakuta wamefoji hadi haki zenu na usalama wenu…ebo!
Kwa nini wasikupandishe wewe?Mkurugenzi atapandishwa cheo.
Lakini ni mambo ya aibu sana. Inatutia doa sana kimataifa.. Huwezi kuamini mambo kama haya yana fanywa na Chama. Kikongwe Afrika.. Yaani nimeangalia ile video nilitamani kulia.. Ccm wana fanya mambo ya aibu.. Hawajui uongozi ni dhamana.. Halafu watatuambia tulinde amani.. Ipi???? Wakati wao ndio wavunjifu wa amani?? Halafu huu upuuzi unafanywa na watendaji wale wale wa TAMISEMI ambao wako ofisi ya rais.. Jamaniii
I'm boss the of my self.Kwa nini wasikupandishe wewe?
Ndungulile na Musa Zungu mmejidhalilisha kuliko maelezoNimefurahishwa sana na njia aliyo onyesha Meya Jacob katika kikao cha Halmashauri ya Jiji la Dar kilicho kuwa kimepangwa ili "kumkomesha" Meya wa Jiji Isaya Mwita baada ya kukataa kuwa na bei ya kuunga mkono juhudi.
Akidi haikutimia kwa wajumbe wa CCM hivyo wakaamuwa kufoji jina la Diwani ambaye hayupo na kusaini.
Jacob akashtukia mchezo na kuchukua attendance register ili kuonyesha ulimwengu hila za CCM katika vikao halali unaofanywa na Mkurugenzi kushirikiana na madiwani na Wabunge wa CCM akiwemo na Mheshimiwa Zungu ambaye ni mwenyekiti wa Bunge asiyepaswa kabisa kushiriki tabia kama hizo.
Walipotaka kumdhibiti kwa kutumia polisi Boniphace alijipanga tayari kutembeza MKONO NA KUNG FU kiasi waka gwaya kumkabili.
Kinachoundwa ni kuhakikisha Meya anakuwa wa CCM kwa gharama yeyote na bila aibu.
Mtindo aliotumia Boniphace ni wakuiga maana CCM hawana aibu hivyo kuna wakati ikibidi kuwapa kichapo ni sawa tu.
Ama kweli 2020 ni #NoHateNoFear
Aibu ona wewe, wazee wa PhD macho makavuuu.Kusema ukweli CCM kama chama kikongwe na tawala chenye kushika dola kinatia aibu sana na kuleta fedheha ktk masuala ya uchaguzi. Tuhuma zenyewe ni ubabaishaji mtupu, tume ilikuwa inaendesha huo uchunguzi ni "zero brains" tupu na hata huo mchakato wa uchaguzi wenye kuhusisha watu 16 tu, bado wanataka kuchakachua matokeo!? Ama kwa hakika CCM hii upuuzi wowote ule ktk masuala ya uchaguzi unaweza kutokea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku nasema hapa, ukishakuwa mwana CCM lazima uwe MPUMBAVU.Daah! aibu sana.
Mbona kwenye clip inayotembea sijawaona Polisi pale bali walinzi wa Kampuni ya Ulinzi?Nimefurahishwa sana na njia aliyo onyesha Meya Jacob katika kikao cha Halmashauri ya Jiji la Dar kilicho kuwa kimepangwa ili "kumkomesha" Meya wa Jiji Isaya Mwita baada ya kukataa kuwa na bei ya kuunga mkono juhudi.
Akidi haikutimia kwa wajumbe wa CCM hivyo wakaamuwa kufoji jina la Diwani ambaye hayupo na kusaini.
Jacob akashtukia mchezo na kuchukua attendance register ili kuonyesha ulimwengu hila za CCM katika vikao halali unaofanywa na Mkurugenzi kushirikiana na madiwani na Wabunge wa CCM akiwemo na Mheshimiwa Zungu ambaye ni mwenyekiti wa Bunge asiyepaswa kabisa kushiriki tabia kama hizo.
Walipotaka kumdhibiti kwa kutumia polisi Boniphace alijipanga tayari kutembeza MKONO NA KUNG FU kiasi waka gwaya kumkabili.
Kinachoundwa ni kuhakikisha Meya anakuwa wa CCM kwa gharama yeyote na bila aibu.
Mtindo aliotumia Boniphace ni wakuiga maana CCM hawana aibu hivyo kuna wakati ikibidi kuwapa kichapo ni sawa tu.
Ama kweli 2020 ni #NoHateNoFear