Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Mkuu Heri ya mwaka mpya ikufikie huko uliko
Asante ndugu yangu, na wewe Heri ya mwaka mpya huko uliko. Niliamini kimakosa kwamba tungeuanza mwaka mpya kwa Uongozi wa Tanzania kuacha ushamba na ulimbukeni...nilikuwa naota tu, kaniki asili yake!
 
Mbona wewe hujaamuka?
 
Jina sahihi la kuwaita CCM ni WAHUNI.
Hiki chama kinafanya mambo ya kihuni bila hata aibu hasa siku hizi. Wakati wa JK vitendo vya ulaghai vilikuwepo lakini ilikuwa kwa staha na akili kubwa sio KISHAMBA namna hii.
Nadhani mzee Kinana na vijana wake walikuwa sahihi kwenye Yale mazungumzo yaliyo dukuliwa.
 
Kikongwe tu haitoshi umesahau UTAJILI ,lakini pia ukumbuke ukiwa kikongwe basi unakua huna NGUVU .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndungulile na Musa Zungu mmejidhalilisha kuliko maelezo
 
Aibu ona wewe, wazee wa PhD macho makavuuu.
 
Mbona kwenye clip inayotembea sijawaona Polisi pale bali walinzi wa Kampuni ya Ulinzi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…