Makerubi Mushi
Senior Member
- Oct 14, 2018
- 115
- 97
Fuatiia mwenyewe CCM ndiyo waikuwa wanatoa madai hayo fuatiia kampeni za marudia Ukonga Waitara aikuwa anasema nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SIMUMEWAFUKUZA KWA MBWEMBWE NA VIFIJO, SASA YA NINI KUWEWESEKA NA KUWAFUATILIA HAO MASHUJA?? TULIENI WAWAPE ZA USOOO.ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Awamu hii ikipita mambo yatarudi sawaYaani kuliko kushabikia Siasa bongo bora uwe hata mnywa gongo lijulikane moja.
Covid 19 imekutana na barakoaHaina nguvu ya jana ndiyo yenyewe
Atakuwa mpumbavu sana kupinga uharamu kwa kutumia uharamu. Hayo angefanya kabla ya kuapaALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa
- Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
- Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
- Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
- Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
- Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
- Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
- Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Shetani aliyewadanganya hatataka waombe radhi maana aibu itamvaa yeye. Lakini wasione aibu kuomba msamahaBusara za kawaida zinamtaka Mdee na genge lake kwa sasa wachutame wasubiri muda kidogo upite then wawaombe msamaha Chadema na Watanzania kwa ujumla kwa ujinga na upuuzi waliofanyishwa na Job.
Otherwise-wategemee anguko kubwa sana na la fedheha mbele yao. By the way-Job na genge lake wanawatumia kwa sasa baadae kidogo watawatelekeza kwa fedheha sana.
God bless the dead.
Anguko gani tofauti na like ambalo tayari walikuwa wamelipata wakiwa hukohuko CDM?Busara za kawaida zinamtaka Mdee na genge lake kwa sasa wachutame wasubiri muda kidogo upite then wawaombe msamaha Chadema na Watanzania kwa ujumla kwa ujinga na upuuzi waliofanyishwa na Job.
Otherwise-wategemee anguko kubwa sana na la fedheha mbele yao. By the way-Job na genge lake wanawatumia kwa sasa baadae kidogo watawatelekeza kwa fedheha sana.
God bless the dead.
Umechelewa sana kunywa gongo weye....Yaani kuliko kushabikia Siasa bongo bora uwe hata mnywa gongo lijulikane moja.
Ukurasa wa covid19 umeshafungwa tumehamia zenji kwa Seif tuone naye kama atachukua maamuzi magumu kuhusu serikali ya umoja.
WordNi kweli ilipofikia CDM hata CCM hakuamini. CCM 2020 inatembea na Kura zilizopigwa kwenye mabegi? Hawaamini tena kama wanaweza kushinda kihalali.! Ni wazi hata vijijini CDM imshapenya. Halima umefanya kazi kubwa lakini umeshindwa kuvumilia. Nenda.