Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Status
Not open for further replies.
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
wamechelewa sana
 
ALERT
[emoji117] CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA
Aisee! hii kazi ya utabiri umejifunzia kwa Sheikh Yahya au? maana unaropoka kama unaharisha
 
Kati ya hayo naamini kuna mengine ni kweli kuhusu Chadema
 
Hiki chama ni cha kishenzi pengine kuliko vyama vyote vya siasa vilivyowahi kutokea nchini. Watu wanapiga hela wengine mnabaki mnabwabwaja tu kuhalalisha upigaji!
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Bwashee na wewe umo kwenye hiyo kamati?Mbona unawalisha CCM habari ambayo kwa asilia 100 umekwisha amua?
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Waje tu; tusikilize hoja zao. Wamekwepa "platform" sahihi na kuchagua "a wrong platform - public". They wish to wash their dirty linen in the public. Sawa.
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Mkuu,

1. Usifanye uamuzi wowote ukiwa na hasira au furaha sana utalijutia kosa hilo
2. Usimsimulie adui au rafiki yako udhaifu wako, siku mkikwaruzana atsema hadharani kwa wasiohusika mapungufu hayo na adui halisi atachukua mwanya huo kukutendea ubaya kwa kivuki cha mbaya wako
3. Ubinafsi wa mtu ndio kipimo pekee cha utu, uhuru na haki kutokana na uamuzi wa jambo lolote unalolifanya
4. Mtoto ana meno machache akiyatamani ya watu wazima, mtu mzima ana meno 32 na mzee mwenye meno hujitahidi kuyalinda lakini yakigundua hayaoani ha sura yake yanamponyoka bila kujijua;
5. Faraja inadumu kwa akiba ya tambo lakini ukishindwa kudhibiti hisia unaweza kukamata ndimi za moto kwa ujasiri na kubaini baadae umeungua vibaya kwa kuunguza viungo na uso vilivyokuwa vinakupa mvuto lakini hauwezi tenakurejesha maumbile halisi;

NB: Giza ilkiwa nene sana ndio nuru inakaribia kumulika
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Bado ni wabunge hadi hapo chadema watakapomuandikia sipika barua kuwa Hawa si wanachama wetu
 
Safari Ya CHADEMA Kama mtumbwi unaoanza Kutoboka Matundu na IPO katikati ya Bahari.

Mdee na mwenzio. wameona Kabisa Maji Yanaingia Ndani Mtumbwi na Hakuna Msaada wala vifaa vya kuziba hayo matundu (ruzuku) Kwa mbali wanaona kuna Mtumbwi unakuja.

Wanajadiliana na wenzao Kuwa ule Mtumbwi unaokuja unaweza kuwa msaada kwetu manaonaje Sisi Twende ile tukalete msaada WANAUME Wanagoma .[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

WADADA wanasema msitutanie Nyie Wanarukia kwenye Mtumbwi iliwapate Msaada na kuokoa Maisha yao na Hawa WANAUME wanasifiwa kuwa wanamsimamo Tukumbuke Mtumbwi ushatoboka na maji yaaningia kwa kasi Je Watafika ufukweni Au ndio watakufa KIUME.

Huwezi Kuendesha Chama Bila Ruzuku Kufikiria Kwamba CHADEMA ITAHIMILI HI MIKIMIKI NI UWONGO

R.I.P CHADEMA ...
Kama chadema imekufa juhudi Kubwa unayofanya kuandika hapa jukwaani inatoka wapi?
 
Mods kwanini wanauacha huu uzi?
Threads kama hizi ndio zinashusha hadhi ya JF.
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Pia wataenda mahakamani jumatatu kupinga kufukuzwa uanachama , ili mahakama iwarudishie uanachama ili kuendeleza mgogoro Chadema Kama ilivyopangwa na Jiwe na system uchwara .
 
Tumeshaelezwa utaratibu na mchakato wa kuwapata wabunge wa viti maalum CHADEMA. Utararatibu upo kiprinciple zaidi. Lazima kamati kuu ya chama ikae na kuthibitisha hayo majina kabla ya kupeleka tume. Hayo hayo hayakufanyika. Sasa wanataka kutuaminisha nini tena. Its now over. Hakuna kipindi cha mmomonyoko wa maadili kisiasa ambapo mambo yanaendeshwa ovyo as if hatujawahi kuwa sheria , katiba na kanuni kama kipindi hiki. Taifa limepoteza maadili kabisa. Wote tuliowaamini kama Icon wa nchi kukemea, kulaani, kuonya, kukosoa na namna mambo yalivyo ovyo hawasemi chochote. Vijana na wanasiasa wa kuijenga Tanzania ya kesho wanajifunza nini?. Tunatengeneza taifa gani baada ya haya yote?. Its a terrible moment!!!.
 
ALERT
👉 CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Sijapata connection hapa jomba kwa Nini umeiunganisha CCM kwenye andiko lako hili..je ni propaganda au ndio kutapatapa kwenyewe sijui..uzi huu hauna maana yoyote umeharibu Hapo tu..ukiambiwa uthibitishe utaweza jomba au utabaki unajiharishia tu...kuweni makini majomba
 
Sijapata connection hapa jomba kwa Nini umeiunganisha CCM kwenye andiko lako hili..je ni propaganda au ndio kutapatapa kwenyewe sijui..uzi huu hauna maana yoyote umeharibu Hapo tu..ukiambiwa uthibitishe utaweza jomba au utabaki unajiharishia tu...kuweni makini majomba
Pole, upo gizani.
 
Watabaki wabunge hadi 2025 na pia watabaki wanachama.Tayari wamebatizwa kuwa wabunge
Of course wacha watumikie wananchi..hayo ni matakwa ya katiba na nchi hii Ni ya kidemokrasia sio ya kidikteta..hata Kama wananchi waliwakataa kwenye sanduku la kura...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom