Mnaingia huko kuvizia nani atasema nini,shame!Likishakuwa kundi hakuna tena mawasiliano "private and personal." Serikali imo kwenye hayo makundi kwa kuomba kuunganishwa na kukubaliwa, utasemaje wameingilia mawasiliano private and personal?
Unapokuwa kwenye kundi hujui nani mwingine upo nae, na huna control juu ya nani mwingine anaingizwa, hata ungekuwa ni group admin, hauko admin peke yako. Kisheria hakuna ghafala, there is no reasonable expectation of privacy.
Niko Mbeya na hizi taarifa nilizisikia kabla sijaenda Madaba last week, niko mbey angoja nitafuatilia lakini huku mbona si taarifa ya ajabu? Hata last two weeks kulikua na taarifa ya Bas la Luwinzo kukamatwa baada ya kugundulika kuw akuna mgonjwa wa Corona alitoroka karantini akapanda hilo basi akakamatiwa makamabko? Mbona ni habari za kawaida sana? Waje Mbeya au hapa Makambako watasikia mengi sijaona tatizo.“Za chinichini kuna Padri wa Peramiho amefariki na Ugonjwa wa Corona. Alitokea Italia, akakaa Dar kidogo kisha akaelekea Mbeya kwa kutumia ndege na baadaye akatumia ‘private’ kuelekea Songea. Akazidiwa akawa ICU kule Peramiho na sasa amefariki. Waliomuhudumia wamewekwa katantini.”
Hata kama hayo mawasiliano yana lengo baya??Mawasiliano ya watu private mnaingilia ya nini?Hayo ni personal
We jamaa swali gani hili?? Taarifa sahihi zi utapews na mamlamka husika ambayo ni wizara ya afyaTaarifa sahihi ni ni zipi?
Shida na wao wakiambiwa watoe uthibitisho wa hao waliokufa kwa corona!Wakiulizwa mahakamani waonyeshe hiyo hofu iliyojengwa iko wapi, au nan amedhurika na hiyo hofu wanahaha na kushindwa kujibu..
Kama hazikuthibitishwa zitabaki tetesi, na ni kosa kwa mtu mwingine kuzipublish
Hao tayari ni wahalifu, kama wameweza kuzusha hilo jambo basi wanaweza kuzusha lingine kubwa hivyo ni lazima wadhibitiwe ipasavyo.Niko Mbeya na hizi taarifa nilizisikia kabla sijaenda Madaba last week, niko mbey angoja nitafuatilia lakini huku mbona si taarifa ya ajabu? Hata last two weeks kulikua na taarifa ya Bas la Luwinzo kukamatwa baada ya kugundulika kuw akuna mgonjwa wa Corona alitoroka karantini akapanda hilo basi akakamatiwa makamabko? Mbona ni habari za kawaida sana? Waje Mbeya au hapa Makambako watasikia mengi sijaona tatizo.
Kama si kweli si ni suala la kutoa taarifa sahihi tu? kwanini wanajichosha wakatyi kuna watu wana kazi zao? Hizo resources za kuwakamata si tungezitumia kwa kufanya mambo mengine?
Korona itachukua uhai wako na wapendwa wako na siyo serikali. Ukifanya uzembe, mzahaBadala wapambane na korona, wanahangaika na watu!
siyo kila kitu ni kuunga mkono.... huu ugonjwa hata tusipoogea hatuwezi kupata tiba ....unataka watu wasiongee??Uzushi SI wakufumbia macho hongera jeshi la polisi
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Tyliwaambia watu hapa kwamba End-To-End Encryption ya whatsapp sio guarantee ya kutoonwa jumbe za whatsapp.Ma group ya WhatsApp sio sehemu salama
Tuendelee kuchapa kazi tujenge Nchi yetu huku tukichukua tahadhari za kiafya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nimekuelewa, uiku mwemaHao tayari ni wahalifu, kama wameweza kuzusha hilo jambo basi wanaweza kuzusha lingine kubwa hivyo ni lazima wadhibitiwe ipasavyo.
Wenye mamlaka kama hawajasema chochote wewe hizo taarifa unathibitisha vipi??
Nakumbuka kipindi cha JK kuna dogo alisemaga mkuu wa majeshi kalishwa sumu, kapewa taarifa fake naye akakimbilia kuzisambaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataalamu husema kati ya kundi la watatu mmoja ni nyoka ama ana mawasiliano ya moja kwa moja na nyoka, makundi ya whatsapp ni kichaka chenye nyoka wengiNaomba kuuliza inakuwaje hadi watu wanakamatwa kutokana na meseji za whatsapp? Je, mkiwa na kundi lenu la watu watano ambao mna same interest na miashare habari za zinanzosemekana kuwa ni tofauti mnaweza kukamtwa pia? Kivipi mtakamatwa au hizi whatsapp zipo monitored?
Issue sio watu wasiongee, mi nipo kwenye group la whatsapp na tunaongea sana kuhusu corona ila sio kutoa taarifa za uzushi au za uongosiyo kila kitu ni kuunga mkono.... huu ugonjwa hata tusipoogea hatuwezi kupata tiba ....unataka watu wasiongee??
hapa ndipo tulipofikiaIssue sio watu wasiongee, mi nipo kwenye group la whatsapp na tunaongea sana kuhusu corona ila sio kutoa taarifa za uzushi au za uongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Y
Tyliwaambia watu hapa kwamba End-To-End Encryption ya whatsapp sio guarantee ya kutoonwa jumbe za whatsapp.
Tukasema kama mwanakikundi mmoja wa whatsapp akidukuliwa na software kama PEGASUS SPYWARE basi group lote mmeisha.