Dar: Wakamatwa wakifungua vyuma vya nguzo Daraja la TANZANITE

Dar: Wakamatwa wakifungua vyuma vya nguzo Daraja la TANZANITE

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu wawili (2) waliokuwa wanajaribu kuharibu kwa kukata baadhi ya vyuma vya ngazi moja ya nguzo namba P9 ya Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender, Ilala.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Muliro J. Muliro amesema watuhumiwa hao ambao majina yao (yamehifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi) walikamatwa tarehe 02/04/2022 saa 10 alfajiri wakiwa wanajaribu kufungua vyuma vilivyopo kwenye nguzo ijulikanayo kama P9 ambayo ipo kwenye daraja hilo. Wanahojiwa kwa kina na watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kwa hatua zaidi.

Pia Jeshi la Polisi limewakamata watu wengine kumi (10) waliokutwa chini ya Daraja huku wakidai wanaokota vyuma chakavu kwa ajili ya biashara ya vyuma. Watuhumiwa hao pia wanahojiwa kwa kina ili kubaini malengo yao kwa ujumla chini ya Daraja hilo yalikuwa ni nini na kuona kama wanamahusiano na wale waliokuwa wanajaibu kuiharibu baadhi ya miundombinu ya nguzo ya daraja hilo.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kuwa halitamvumia mtu au kikundi chochote kinachojihusisha kwa namna yoyote ile kujaribu kuharibu miundombinu ambayo imejengwa kwa manufaa ya umma, Ulinzi katika eneo hilo na maeneo mengine umeeendelea kuimarishwa na atakayejaribu kuiharibu atakamatwa na mifumo ya kisheria ya kishughulika nae itazingatiwa.

Hao waliokamatwa ni vijana wetu wa kinondoni shamba wengi ni mateja kwakwel wamekua wakija na vyuma vikubwa kweli week mbili sana na wamefanya biashara kubwa kwa kipind hicho na wanunuaj wa scraperz leo wamekamatwa baadhi
 
Hali ya uchumi ni mbaya sana wananchi wanakimbilia miundo mbinu.
 
Hao waliokamatwa ni vijana wetu wa kinondoni shamba wengi ni mateja kwakwel wamekua wakija na vyuma vikubwa kweli week mbili sana na wamefanya biashara kubwa kwa kipind hicho na wanunuaj wa scraperz leo wamekamatwa baadhi
Hapo nyuma kwa Dr. Mvungi karibia na Osha kuna biashara ya vyuma chakavu inaendelea pale itakua ndio wanawapelekea.
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu wawili (2) waliokuwa wanajaribu kuharibu kwa kukata baadhi ya vyuma vya ngazi moja ya nguzo namba P9 ya Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender, Ilala.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Muliro J. Muliro amesema watuhumiwa hao ambao majina yao (yamehifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi) walikamatwa tarehe 02/04/2022 saa 10 alfajiri wakiwa wanajaribu kufungua vyuma vilivyopo kwenye nguzo ijulikanayo kama P9 ambayo ipo kwenye daraja hilo. Wanahojiwa kwa kina na watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kwa hatua zaidi.

Pia Jeshi la Polisi limewakamata watu wengine kumi (10) waliokutwa chini ya Daraja huku wakidai wanaokota vyuma chakavu kwa ajili ya biashara ya vyuma. Watuhumiwa hao pia wanahojiwa kwa kina ili kubaini malengo yao kwa ujumla chini ya Daraja hilo yalikuwa ni nini na kuona kama wanamahusiano na wale waliokuwa wanajaibu kuiharibu baadhi ya miundombinu ya nguzo ya daraja hilo.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kuwa halitamvumia mtu au kikundi chochote kinachojihusisha kwa namna yoyote ile kujaribu kuharibu miundombinu ambayo imejengwa kwa manufaa ya umma, Ulinzi katika eneo hilo na maeneo mengine umeeendelea kuimarishwa na atakayejaribu kuiharibu atakamatwa na mifumo ya kisheria ya kishughulika nae itazingatiwa.

Tanzania ni nchi yenye njaa isiyosemwa
 
Wanakula kwa urefu wa kamba..ni agizo la mkulu.

#MaendeleoHayanaChama
 
viongozi watasema jpm ndo chanzo bila yeye watu wasingeiba
 
Hii biashara ya vyuma chakavu imechangia sana uharibifu wa miundombinu.
 
hakuna kitu hatari kama kuongoza wajinga..

Moja ya hatari ambayo kama nchi CCM wameisababisha ni kuwanyima watu elimu sahihi..
 
Inawezekana vijana wa watu ni mafundi waliotoka site wakapitia hapo chini ya daraja kujipumzisha na kushangaa shangaa uzuri wa daraja huku mfukoni wakiwa na vifaa vyao vya kazi.........who knows......kwa jinsi jeshi letu la polisi linavyofanya kazi kwa mihemko na sifa........
 
Hao sbb itakuwa vita vya Ukraine vs Russia, ni hujuma ya hiyo vita
 
Polisi wanatafuta umaarufu tu nani anaweza kufungua chuma cha pillar ya concrete? Issue iko hivi, mkandarasi anafungua lile daraja la muda la chuma. Katika kufungua kuna vyuma huwa wanavidondosha baharini, hawavihitaji. Hawa jamaa ndio wanasumbiri maji yakiondoka wanatembea mpaka maeneo hayo na kuokota hivyo vyuma. Ni scrapper ambazo mkandarasi katupa kwenye maji wakati anafungua daraja la muda. In other words hawa vijana wanasaidia kusafisha bahari.
 
Hao inabidi waende jela kifunga Cha maisha , bila kesi kusikiliza
Waachiwe ila wakatwe viganja vya mikono wasiweze kufanya uharibufu kama huo tena sababu ukimfunga ipo siku Rais anaweza katoa msamaha alafu wakarudi mtaani wakaendelea na ujinga wao.
 
Hao waliokamatwa ni vijana wetu wa kinondoni shamba wengi ni mateja kwakwel wamekua wakija na vyuma vikubwa kweli week mbili sana na wamefanya biashara kubwa kwa kipind hicho na wanunuaj wa scraperz leo wamekamatwa baadhi
wapelekee Sembe mahubusu
 
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata watu wawili (2) waliokuwa wanajaribu kuharibu kwa kukata baadhi ya vyuma vya ngazi moja ya nguzo namba P9 ya Daraja la Tanzanite lililopo maeneo ya Salender, Ilala.

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Muliro J. Muliro amesema watuhumiwa hao ambao majina yao (yamehifadhiwa kwa sababu za kiuchunguzi) walikamatwa tarehe 02/04/2022 saa 10 alfajiri wakiwa wanajaribu kufungua vyuma vilivyopo kwenye nguzo ijulikanayo kama P9 ambayo ipo kwenye daraja hilo. Wanahojiwa kwa kina na watafikishwa kwenye vyombo vya kisheria kwa hatua zaidi.

Pia Jeshi la Polisi limewakamata watu wengine kumi (10) waliokutwa chini ya Daraja huku wakidai wanaokota vyuma chakavu kwa ajili ya biashara ya vyuma. Watuhumiwa hao pia wanahojiwa kwa kina ili kubaini malengo yao kwa ujumla chini ya Daraja hilo yalikuwa ni nini na kuona kama wanamahusiano na wale waliokuwa wanajaibu kuiharibu baadhi ya miundombinu ya nguzo ya daraja hilo.

Jeshi la Polisi linatoa onyo kali kuwa halitamvumia mtu au kikundi chochote kinachojihusisha kwa namna yoyote ile kujaribu kuharibu miundombinu ambayo imejengwa kwa manufaa ya umma, Ulinzi katika eneo hilo na maeneo mengine umeeendelea kuimarishwa na atakayejaribu kuiharibu atakamatwa na mifumo ya kisheria ya kishughulika nae itazingatiwa.

Inatakiwa polisi waanzishe Doria kwenye madaraja yote muhimu,
 
Back
Top Bottom