Wazee punguzeni chuki na vijana, kila kosa vijana punguzeni uvivu.Wajinga kama hao ndio maana China wananyonga! Sasa si kuhatarisha maisha ya watu kwa njaa
Vijana acheni uvivu.
Mkuu mi ni dogo sana lakini kuna mambo ya kishenzi sana kuyafuta inahitaji kuyachukulia hatua kali.Wazee punguzeni chuki na vijana, kila kosa vijana punguzeni uvivu.
Hakuna kya dhamana wala kya nini. Wakae ndani hadi washike adabu.Uhujumu uchumi unawahusu hao
Daaa inji hii shida kweli kweli!Unga wa ngano, sukari na cooking oil vinaleta shida
A wanahari u kucunguabyuma kwenye jukwaa lililojengwea pembeni ya Barabala mpya Kama jukwaa/ division lakupitishia mizigo na mitambo.Walikuwa wanaokota vyuma hao
Inabdi Sahv wahusika waondoe vyuma
Vilivyoanguka na kuzaagaa hapo
Ova