Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Duh!!!!,Nitabaki mkoani,Dar endeleeni nayo tu.Serikali isizembee kuhusu tope linalotoka ardhini, mpaka sasa wstaalam wa jiolojia wanaonekana kutokuwa na uwezo lakini wanasita kusema! Jinai siku zinavyokwenda ndivyo mashimo yanayotoa tope yanaongezeka, inawezekana kutokuwepo mpango wowote wa kupata wataalamu wenye vifaa unatokana na kitokuwepo waziri husika.
Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wanatakiwa wachukue hatua za haraka kupata wataalam toka nje kwani hili si bomba lililopasuka hii ni hali ya hatari tunaposhuhudia nyumba nzima kutitia.
Mwamba katisha, nashindwa kupata picha alikuwa anawaza kitu gani?
Tunaogopa kuwaleta mabeberu watasema kuna tanzaniteSiyo laxima mleta post aweke picha,mbo sakata la tope kunduchi limetanfazwa sana,
Tusione aibu juwaleta na mabebelu,sisi hatuna uwezo
PoleNikichoka nilipoona wanatumia mikono na chupa ya hill water kuchukua sample
Serikali isizembee kuhusu tope linalotoka ardhini, mpaka sasa wstaalam wa jiolojia wanaonekana kutokuwa na uwezo lakini wanasita kusema! Jinai siku zinavyokwenda ndivyo mashimo yanayotoa tope yanaongezeka, inawezekana kutokuwepo mpango wowote wa kupata wataalamu wenye vifaa unatokana na kitokuwepo waziri husika.
Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wanatakiwa wachukue hatua za haraka kupata wataalam toka nje kwani hili si bomba lililopasuka hii ni hali ya hatari tunaposhuhudia nyumba nzima kutitia
Labda watu wa makunduchi hawana smatiphoneYaani hayo mashimo tumeomba picha mpaka basi
Semina ili wake na mikakati! Ila wakifanya utafiti huenda tope hilo likafaa kuchanganya na simenti kuimarisha reli ya SGR maana tope liko pyuwa halina makandokando.Paundwe jopo la wasomi wakae semina ili kupata suluhisho
Mafuta yameanza kupanda juu, Hakika Tanzania ni nchi tajiri. Inabidi tuendelee kuwa donor countryNeema nzuri Mungu anazidi kuijalia Tanzania, hayo ni mafuta bila ubshi
Ni wewe kweli?Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.
Long Live Capitalism !
Wanasubiri madhara walalamike serikali.haiwajaliMshambiwa hameni msije mkasema hamjambiwa
Ova
Mafuta yako kivipi wakati unaweza ukachimba shimo kwako halafu yakawa yanaflow kutoka kiwanja cha mtu mwingine? Hata hewa iliyojuu utasema ni yako wakati inaflow kutoka kwenye pori la mtu mwingine?Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.
Long Live Capitalism !
Watengeneza pemba hawajaoa fursa kwenye tope?
Umesoma hiyo taarifa au unakurupuka tu? Wamesema hamna volcano hapoDar kulivyo tambarare kunatokea volcano? Ama kweli serikali ya awamu hii inachapa kazi.