Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.
Long Live Capitalism !