Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Dar: Wakazi wa eneo la Kunduchi Mtongani ambao nyumba zao zimepitiwa na ujiuji wa volcano ya tope, watakiwa kuhama

Serikali isizembee kuhusu tope linalotoka ardhini, mpaka sasa wstaalam wa jiolojia wanaonekana kutokuwa na uwezo lakini wanasita kusema! Jinai siku zinavyokwenda ndivyo mashimo yanayotoa tope yanaongezeka, inawezekana kutokuwepo mpango wowote wa kupata wataalamu wenye vifaa unatokana na kitokuwepo waziri husika.

Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wanatakiwa wachukue hatua za haraka kupata wataalam toka nje kwani hili si bomba lililopasuka hii ni hali ya hatari tunaposhuhudia nyumba nzima kutitia.
Duh!!!!,Nitabaki mkoani,Dar endeleeni nayo tu.
 
Siyo laxima mleta post aweke picha,mbo sakata la tope kunduchi limetanfazwa sana,
Tusione aibu juwaleta na mabebelu,sisi hatuna uwezo
Tunaogopa kuwaleta mabeberu watasema kuna tanzanite
 
Nikichoka nilipoona wanatumia mikono na chupa ya hill water kuchukua sample
 
Serikali isizembee kuhusu tope linalotoka ardhini, mpaka sasa wstaalam wa jiolojia wanaonekana kutokuwa na uwezo lakini wanasita kusema! Jinai siku zinavyokwenda ndivyo mashimo yanayotoa tope yanaongezeka, inawezekana kutokuwepo mpango wowote wa kupata wataalamu wenye vifaa unatokana na kitokuwepo waziri husika.

Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wanatakiwa wachukue hatua za haraka kupata wataalam toka nje kwani hili si bomba lililopasuka hii ni hali ya hatari tunaposhuhudia nyumba nzima kutitia

Waitwe mabeberu au ma boerz ?
 
Paundwe jopo la wasomi wakae semina ili kupata suluhisho
Semina ili wake na mikakati! Ila wakifanya utafiti huenda tope hilo likafaa kuchanganya na simenti kuimarisha reli ya SGR maana tope liko pyuwa halina makandokando.
 
Dah! Kuna mafuta mengi hapo chini! Kweli hii nchi ni tajiri.
 
Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.

Long Live Capitalism !
Ni wewe kweli?
 
Huu ni utapeli, yaani mtu aachenkiwanja cha mabilioni kunduchi kisa ya tope? Hilo tope ni la muda tu, litaacha, kama kuhama wahame kwa muda tu, lakini kamwe wasikubali kubadilishana viwanja vyao kwa viwanja vingine huko maporini
 
Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.

Long Live Capitalism !
Mafuta yako kivipi wakati unaweza ukachimba shimo kwako halafu yakawa yanaflow kutoka kiwanja cha mtu mwingine? Hata hewa iliyojuu utasema ni yako wakati inaflow kutoka kwenye pori la mtu mwingine?
 
Back
Top Bottom