Kama alikiuka sheria basi hata kodi atakwepa tuDizaini ya wawekezaji wasiotaka kufuata sheria za Nchi na makazi ya wananchi(binadamu) ni wa kufukuzwa tu. Uwa awajali binadamu.
Dizaini hii ya wawekezaji, sio wa kutetewa kwa hali yoyote ile.
Tena hawa wakwepa kodi wabaya sana na ndiyo waliomuua Dkt MaguKama alikiuka sheria basi hata kodi atakwepa tu
Duuuh! Unafika mbali sasa, Dr hajauawaTena hawa wakwepa kodi wabaya sana na ndiyo waliomuua Dkt Magu
Hii posti yako Mkuu naigongomelea msumari.Kama alikiuka sheria basi hata kodi atakwepa tu
Si huyu waziri ansyesema asili yake ni tajiri na anafikiri eti kuna wanasiasa wanaona fahari kujibainisha asili yao ni maskini lakini sio yeye. Eti baba yake alikua tajiri baba yake alikua rubani wa ndege.Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.
Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Ndio utajua hujui, mwambie akibomoe hicho kituo kama yeue mwanaume, wizara yake ndio imempa vibali vyote kujenga kituo cha mafuta, na kama anataka kuupima uwaziri wake dhidi ya maslahi ya nchi, azuie na vituo vingine nchi nzimaSio kwamba ukiwa JamiiForums kazi kubwa inakuwa kuonyesha ujinga wako kwa mapana zaidi au?
Yeye alipewa huduma na ofisi za waziri jerry, kama kukiuka sheria basi ni wizara ya jerry silaa, yeye akiwa namba moja, mwananchi ni mpokea huduma tuKama alikiuka sheria basi hata kodi atakwepa tu
Vituo vya mafuta vingekuwa vinalipa Kodi kubwa, tungeona kwenye Ripoti.Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.
Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Magu alijiua mwenyewe, unakunywa virus wa korona ili umuonyeshe mkemia kwamba wewe ni jiwe?Tena hawa wakwepa kodi wabaya sana na ndiyo waliomuua Dkt Magu
Acha kujitoa ufahamu mtu corrupt hashindwi kukwepa kodi, hao ndio wanasababisha mawaziri wanatumbuliwa,Yeye alipewa huduma na ofisi za waziri jerry, kama kukiuka sheria basi ni wizara ya jerry silaa, yeye akiwa namba moja, mwananchi ni mpokea huduma tu
Magu alikibomoa mwanza kituo cha mansoor, na nchi ikalipa fidia na kimejengwa tenaVituo vya mafuta vingekuwa vinalipa Kodi kubwa, tungeona kwenye Ripoti.
Kutoa risiti tu za EFD, waligomea Hadi Magu alipotishia kuwafutia Leseni.
Mtaondoa tu uhuni wenu wa kuweka vituo katika makazi Kwa kivuli Cha Kodi ya mchongo.
Sasa silaaa anaomba bilioni kama cha juu, nani ampe? Kasikia jamaa wanaenda kwa mabosi wake ndio akatoka ndukiAcha kujitoa ufahamu mtu corrupt hashindwi kukwepa kodi, hao ndio wanasababisha mawaziri wanatumbuliwa,
Uwaziri sio wake, asimame kwa koti la kuazima?Kodi bila utaratibu hatutaki,
Jerry simama hivyohivyo janjajanja hapana
Msimsumbue Slaa, Yuko katika HAKI anafuata SHERIA.Magu alikibomoa mwanza kituo cha mansoor, na nchi ikalipa fidia na kimejengwa tena
Haki ya konyoMsimsumbue Slaa, Yuko katika HAKI anafuata SHERIA.
Huyo Mansoor tukimsaka kwenye walipakodi wakubwa nchini yumo?
Haikubaliki.
Cha juu bil duuh biashara nchi hii kazi sanaSasa silaaa anaomba bilioni kama cha juu, nani ampe? Kasikia jamaa wanaenda kwa mabosi wake ndio akatoka nduki
Hana ubavu wa kukataa hizo, angeanza kukataa zile za Mwase wa STAMICO. Wanasiasa si wakuwaamini mzeeKuna SHERIA wapi kituo kiwepo sio kujenga tu kisa mil 500