Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Si huyu waziri ansyesema asili yake ni tajiri na anafikiri eti kuna wanasiasa wanaona fahari kujibainisha asili yao ni maskini lakini sio yeye. Eti baba yake alikua tajiri baba yake alikua rubani wa ndege.
 
Sio kwamba ukiwa JamiiForums kazi kubwa inakuwa kuonyesha ujinga wako kwa mapana zaidi au?
Ndio utajua hujui, mwambie akibomoe hicho kituo kama yeue mwanaume, wizara yake ndio imempa vibali vyote kujenga kituo cha mafuta, na kama anataka kuupima uwaziri wake dhidi ya maslahi ya nchi, azuie na vituo vingine nchi nzima
 
Nchi inahitaji kodi kuliko chochote, kuliko hata uwaziri wa Jerry Silaa. Bora Silaa aondoke kituo cha mafuta kibaki, vikodi vya mshahara wa Silaa havifiki milioni 10 kwa mwezi, kituo cha mafuta kinaweza kuingiza hata milioni 500 kwa mwezi.

Hata kliniki za ardhi ni njia yake ya kutegeshea rushwa
Vituo vya mafuta vingekuwa vinalipa Kodi kubwa, tungeona kwenye Ripoti.

Kutoa risiti tu za EFD, waligomea Hadi Magu alipotishia kuwafutia Leseni.

Mtaondoa tu uhuni wenu wa kuweka vituo katika makazi Kwa kivuli Cha Kodi ya mchongo.
 
Yeye alipewa huduma na ofisi za waziri jerry, kama kukiuka sheria basi ni wizara ya jerry silaa, yeye akiwa namba moja, mwananchi ni mpokea huduma tu
Acha kujitoa ufahamu mtu corrupt hashindwi kukwepa kodi, hao ndio wanasababisha mawaziri wanatumbuliwa,
 
Vituo vya mafuta vingekuwa vinalipa Kodi kubwa, tungeona kwenye Ripoti.

Kutoa risiti tu za EFD, waligomea Hadi Magu alipotishia kuwafutia Leseni.

Mtaondoa tu uhuni wenu wa kuweka vituo katika makazi Kwa kivuli Cha Kodi ya mchongo.
Magu alikibomoa mwanza kituo cha mansoor, na nchi ikalipa fidia na kimejengwa tena
 
Magu alikibomoa mwanza kituo cha mansoor, na nchi ikalipa fidia na kimejengwa tena
Msimsumbue Slaa, Yuko katika HAKI anafuata SHERIA.

Huyo Mansoor tukimsaka kwenye walipakodi wakubwa nchini yumo?

Haikubaliki.
 
Back
Top Bottom