Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Dar: Wananchi wamelalamikia kujengwa kwa Kituo cha kuuza mafuta cha Barrel Petrol Station karibu na makazi yao

Hivi kati ya polisi na daktari..utaamini nani yuko sahihi kuhusu taarifa za mgonjwa? Punguani ataamini anachosema polisi..ndio wewe! wala usiwalaumu hao wazee, wewe hata nusu ya walichofanya wao kwa taifa na dunia hujafikia na kwa akili km hii hutakaa ufikie..
🙏
 
Sasa hiyo mada ina uhusiano gani na kujenga maeneo unayoita residential.

NEMC wametoa fine kwa sababu ujenzi wa hivyo vituo auna EIA licence (environmental impact assessment) wao ndio wanatoa hiko kibali na hilo ni takwa la kisheria popote unapojenga kituo cha mafuta.

Leta hiyo ramani ya mpango miji inayoweza kupanga vituo vya mafuta vikae wapi.


View: https://m.youtube.com/watch?v=dL6JzkWKvAY

Halafu eneo mbona limetengenezwa vizuri, lipo mbali na eneo majengo na size nzuri kwa kituo cha mafuta. .

Utafananisha na vituo vya mafuta vingine nchi za ulaya unakuta kaeneo kadogo katika ya CBD watu wanaweka vituo vya mafuta


View: https://m.youtube.com/shorts/3cOFdFnPA4U?embeds_referring_euri=https%3A%2F%2Fwww.google.co.uk%2F&source_ve_path=MTU2OTE1&feature=emb_ytp_watch_again

Embu tupunguze ushamba na kukariri mambo.

🙏
 
Halafu waziri wa ardhi anasimamishaje leseni iliyotolewa na Ewura kwamba biashara ya mafuta ifanyike hapo? Leseni za manispaa, TRA, NEMC, na taasisi lukuki? Na hawa walitoa leseni hizo baada ya wizara ya Jerry Silaa kuwaambia hapo panaweza kujengwa kituo cha mafuta na akabadilo matumizi ya ardhi.

Yaani mtu mmoja anaathiri maslahi ya wizara karibu tano? Tena bila kuzishirikisha?
Mkuu kwa mazingira na maamuzi kama haya uwekezaji unakuwa mgumu ndani ya nchi yetu
 
Unafananisha apples and pears.

Lorry na kituo cha mafuta requirement zake za safety regulations ni tofauti.

Halafu Tanzania kwenye usafirishaji wa mafuta regulations ndio hamna kabisa. Tanker la mafuta nchi za ulaya lina bei kubwa sana kwa sababu ya specification zake za kuzuia spillage likipinduka na adhabu yake mafuta yakimwagika gari likipinduka sio ndogo.

Tanzania wafanyabiashara wengi wa mizigo wanaagiza matanka used na ambayo wazungu wanabebea maziwa au liquids zingine ambazo uimara sio lazima ufanane na matank ya kubebea mafuta.

Kuhusu vifo lazima tukubaliane source ni ujinga na desperation ya wa watanzania kufuata petrol ambayo wakati wowote inaweza lipuka.

Vituo vya mafuta reserve ya kituo ina layers kibao za kuzuia madhara ya mlipuko, kuna fire extinguishers, michanga, uwezo wa reserve kufungia petrol na masharti luluki ya EWURA. Sio rahisi hivyo kifikia majengo ya watu.
Unachopaswa kuelewa ni kwa kiwango gani safety precautions zinasaidia kupunguza uwezekano wa kutokea ajali na kiwango cha madhara kukitokea ajali..kwa hivyo huhitaji kutegemea vitu hivyo wakati wote, pili hao watu wasiojali standards za malori kutumiwa kubeba mafuta, TBS, TRA nk wewe unadhani walioko EWURA ni tofauti na hao wa TBS unajidanganya..tatu siku ya kutokea ajali haijulikani na hivyo chukua tahadhari siku zote, ndio maana zipo sheria..comply!
 
Siwamesogezewa huduma karibu, mie naenda kujenga msikiti nione mtu ananikoromea
 
Elfu kumi unapata lita mbili na nusu, sasa hivi magari yanaendeshwa kama koroboi, petrol iuzwe kwenye maduka ya rejareja na grocery, kha!
 
Elfu kumi unapata lita mbili na nusu, sasa hivi magari yanaendeshwa kama koroboi, petrol iuzwe kwenye maduka ya rejareja na grocery, kha!
🤣🤣🤣
 
Waziri Jerry Slaa rudisha heshima ya Wamburu
Yule Slaa Dr mihogo aliharibu heshima iliyo asisiwa na Mburu Bw SARAWATI aliye simamia haki mpaka Julius Kambarage Nyerere alimbania uhuru wake

Jerry Slaa shikilia hapohapo!!!

Sokoinemdogo wewe Kwa Sasa
Mungu akulinde
Huyo ni Jerry silaa ni mchaga siyo slaa mmburu.
 
Kuna ka "ujinga" kanapita mitandaoni eti kuna watu walijaribu kumuhonga waziri Jerry Silaa. Takukuru wapo, na namba zao anazo, na huwa wanaweka mitego kunasa watoa rushwa.

Waziri ni kiongozi wa ngazi ya kitaifa, ana namba ya boss wa takukuru, kwa nini hakuweka mtego?

Walijadiliana halafu hazikutosha akaona awahi kuwalipua? Aliwaomba hizo hela wakasema hawana akaona awawahi?

Waziri analalamika, wanajimbo wake wafanyeje? Waziri yuko karibu na kila taasisi?

Huyu ataongoza vita ya rushwa wizara ya ardhi wakati hajui sehemu ya kuripoti rushwa?

Useless,aliomba akanyimwa, mawaziri vijana, acheni tamaa, Samia,kazi kwako.

Naona kaitisha umiliki wa ardhi wa vituo vya mafuta nchi nzima, maokoto yake sio mchezo, kamishna wa ardhi atakayepeleka maokoto mengi ndiye atadumu. Anadhani watampa hela za bure (rushwa) ili asivunje vituo vyao

Ajue tu, kodi ya mafuta ndio injini ya bajeti, na mafuta yameangusha wanasiasa wa mashariki ya kati, kabla hajaangusha serikali ya samia, ataanguka yeye. Kama kajipanganga kubomoa vituo vya mafuta nchi nzima, nchi nzima itambomoa yeye.
Rushwa za wakubwa unadhani zinatolewa kwenye bahasha kama za watendaji wa vijiji?
 
Unaijua UFI
Unaijua ZZK
Unaijua Swalla
Unaijua Nyumbu.
Leo vinafanya nini? Kwa taarifa yako Nyerere alijenga viwanda vya zana ndogo hapa lkn vyoooootr leo mashine zimeuzwa screpa na Majengo yake ni yard za matajiri Wahindi na Waarabu.
Pale SHEKILANGO URAFIKI leo kuna Stendi ya Mabasi ya BM so ulitaka Nyerere afanyeje????
Kwa hiyo pointi yako ni ipi hapa. Hivyo viwanda navijua vizuri kabisa.
UFI ilikuwa inatengeneza majembe ya mikono na plau za kukokotwa na wanyama hasa ngombe.
ZZK hali kadhalika
Swala ilikuwa inaunganisah baiskeli za Swala.
Nyumbu magari ya jeshi yanayotembea ambayo hata mwanahisa wake mkuu, Serikali, aliyakataa kuyanunua.

Mbali na Nyumbu viwanda vyote hivyo vilikufa wakati Nyerere bado ni Rais. Unabisha?
Hata kiwanda cha kutengeneza mikate ya siha pale Tazara nakijua. Nacho kilikufa wakati akiwa bado ni Rais. Sema lingine. Mlipompa Bakhresa kiwanda kile angali kinavyoendelea pamoja na kuwa na viwanda vingine vingine vinavyotoa ushandani kwenye soko la mikate.

Tatizo ni CCM. Labda wajirekebishe. Wanayo nafasi ya kufanya hivyo mbona.
 
Kwa hiyo pointi yako ni ipi hapa. Hivyo viwanda navijua vizuri kabisa.
UFI ilikuwa inatengeneza majembe ya mikono na plau za kukokotwa na wanyama hasa ngombe.
ZZK hali kadhalika
Swala ilikuwa inaunganisah baiskeli za Swala.
Nyumbu magari ya jeshi yanayotembea ambayo hata mwanahisa wake mkuu, Serikali, aliyakataa kuyanunua.

Mbali na Nyumbu viwanda vyote hivyo vilikufa wakati Nyerere bado ni Rais. Unabisha?
Hata kiwanda cha kutengeneza mikate ya siha pale Tazara nakijua. Nacho kilikufa wakati akiwa bado ni Rais. Sema lingine. Mlipompa Bakhresa kiwanda kile angali kinavyoendelea pamoja na kuwa na viwanda vingine vingine vinavyotoa ushandani kwenye soko la mikate.

Tatizo ni CCM. Labda wajirekebishe. Wanayo nafasi ya kufanya hivyo mbona.
Watanzania mna laana Nyerere alipooona Yatamtokea ya Dozer ALING'ATUKA hakuona haja ya kuanza kuwatumbua.
Walioua hivyo viwanda ni Babu, Mjomba. Baba na kaka zetu walioaminiwa na kupewa nyadhifa mbalimbali.
 
Huku zenji kituo cha mafuta kimejengwa chini ya shule ya msingi na sekondari na kimeachwa kinafanya kazi

Sijui wametumia sheria ipi kukipa kibali kile kituo ila kiuhalisia hakitakiwi kiwepo
 
Back
Top Bottom