Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wakuu, kwa Dar wapi mtu anaweza kwenda kuvua kwa ndoano na kurudi na kitoweo. Au akafanya kama burudani lakini ssmaki anapata?
Najua kuna bahari, lakini kuweza kuvua kwa ndoano na kupata mboga ni kitu kingine.
Najua kuna bahari, lakini kuweza kuvua kwa ndoano na kupata mboga ni kitu kingine.