Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vaa helmet.Kwa mara ya kwanza waliokamatwa hawana majina ya ndugu zetu katika imani.
Dalmine The Icebreaker STRUGGLE MAN BlackPanther
Kilo 270 ni sawa na debe 13.5 za mahindi sawa na pipa la debe kumi na mbili. Hao ni wauaji wa watoto wetuMAMLAKA ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya jana tarehe 15 April 2020, imefanikiwa kumkamata kigogo wa dawa za kulevya raia wa Nigeria Kanayo David Chukwu (39) mkazi wa Masaki jijini Far we Salaam.
Pia inawashikilia raia wawili wa Tanzania Alistair Amon Mbele(38) ambaye ni mkutubi wa Chuo Kikuu cha Aghakan jijini Dar es Salaam, mkazi wa Mbezi Kibanda cha mkaa na Isso Romward Lupembe (49) ambaye Ni mkazi wa Mbezi Louis na Changanyikeni jijini.
Watuhumiwa wamekamatwa na dawa za kulevya aina ya heroin zinazokadiliwa kuwa na zaidi ya kilogramu 270 zilizokuwa zimehifadhiwa kwenye moja ya nyumba iliyopo Mbezi kibanda cha mkaa.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kaimu Kamishna Jenerali wa Mamlaka hiyo James Kaji amesema watuhumiwa hao wamekuwa wakifanya biashara hiyo kwa muda mrefu nchini na kwamba Mamlaka imefanikiwa kukamatwa kutokana na jitihada ushirikiano uliopo kati ya nchi yetu na nchi nyingine katika kupambana na tatizo la dawa za kulevya duniani kutokana na utaratibu wa kubadirishana taarifa ambazo husaidia kurahisha ukamataji huo. “Baada ya kupata taarifa kutoka kwa vyombo mbalimbali vya usalama ndani na nje ya nchi tulianza kuwafuatilia toka tarehe nane na kufanikiwa kuwaweka mtegoni tangu wakiwa wanateremsha mzigo na kufanikiwa kuwakamata. "Pia watuhumiwa hao walikuwa wamefanya maandalizi ya kupokea mzigo huo kwa kujenga tenki la maji machafu ambalo liliwekwa chemba juu ya kuhifadhia dawa hizo na bahati mbaya mzigio uliwahi kufika kabla tenki halijakamilika, hivyo kulazimika kuzihhifadhi ndani ya nyumba,"amesema
Kamishna Kaji.
View attachment 1420869View attachment 1420870View attachment 1420871View attachment 1420872
mwanao alikuwa ana umri chini ya 18?kama mwanao ni > 18 basi ameharibika kwa upumbavu wake
Mzigo kama huo bil1. Kadhaa
Hongera sana mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya, hongera sana Mh JPM, Hongera sana ndugu Daudi Albert Bashite.
Umejuaje kama itakuwa na thamani hiyo CIA reporter check your comment bra
Kuna chama cha siasa Tanzania huwa kinatetea kila aina ya uovu wanaalama ya vidole viwili
Sent using Jamii Forums mobile app
Google price of cocaine au heroin mbona unapata jibu.Umejuaje kama itakuwa na thamani hiyo CIA reporter check your comment bra
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanyau alikuwa mzushi sana anatoa misaada kwenye madrasa na watoto yatima pesa za ngadaMsalimie KANYAU.
HatariKilo 270 ni sawa na debe 13.5 za mahindi sawa na pipa la debe kumi na mbili. Hao ni wauaji wa watoto wetu