Dar: Washukiwa wa biashara ya dawa za kulevya watiwa mbaroni

Kilo 270 ni sawa na debe 13.5 za mahindi sawa na pipa la debe kumi na mbili. Hao ni wauaji wa watoto wetu
 
Mkuu hesabu za wap hizo.. Kwahiyo 50mx270 ni 1.3b!??
 
Hawa Naijas ndo watabe wa mambo haramu Africa... .Udukuzi,drug trafficking nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…