Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtoto wa prof mbele kweli mbona baba yake karelax tu tulikuwa nae kwenye mnakasha fb leo.Nimeshituka sana,huyo mdogo wangu nikiwa Dar tulikuwa tunacheza naye kikapu ARU pale. Namsikitikia dada yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angetumiwa na system hawangemtaja jina. Wangesema majina yanahifadhiwa.Mkuu tulia,yawezekana ametumiwa tu na system kufikia malengo yakumnasa mtuhumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi wewe zinakutosha kweli?Kwa mara ya kwanza waliokamatwa hawana majina ya ndugu zetu katika imani.
Dalmine The Icebreaker STRUGGLE MAN BlackPanther
Achana nae choko huyoVaa helmet.
yote heri. ila wamekosea kumjumuisha katika picha. amegeuka kuwa center of discussion wa tukio zima.Mkuu tulia,yawezekana ametumiwa tu na system kufikia malengo yakumnasa mtuhumiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Unaweza jitosa hvhv Mungu atusaidie.Wanaojua mahesabu yake wanasema thamani ya mzigo ni 50x270 million shillings!!! Kama shillings 13.5 bill!!!!
Segerea wanakula ugali nyama asubuhi na jioni?Atakua Don Segerea. Mpaka atoke lazimanaukwae unyapara. Halafu siku hizi hakuna kupelekeana chakula. Uwe Don, uwe mnaija au mngoni. Wote ugali nyama asubuhi na jioni.
Washapotea tayari... duuuh,hao jamaa wa Nigeria ni risk taker huo hawaogopag kabsa aya mambo
Unafiki wangu ni nini ?Acheni tamaa mazee.acha unafiki
Sheria ifuate mkondo wakeHivi wewe zinakutosha kweli?
Malezi yako mabovu ndiyo yaliyochangia kumharibu mwanao, usisingizie wauzaji wa madawa.