Dar: Watu wanne wa familia moja wafariki baada ya kuvuta hewa chafu ya jenereta

Dar: Watu wanne wa familia moja wafariki baada ya kuvuta hewa chafu ya jenereta

Watu wengi wanajua kuvuta hewa chafu ni ushuzi, harufu ya kinyesi au uvundo na uozo fulani kumbe hewa chafu ni hewa safi inapokosekana na hewa chafu kama kuungua kwa mkaa ndani ya chumba kidogo hufanya mzunguko wa hewa safi kuingi na mtu kuishia kuishia kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha. Kuungua mkaa ndani ya nyumba hukuu madidirisha na milango ikiwa imefungwa ni hatari sana
Nanukuu "kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha." Hapo umetoa Scientific explanation ya kisababishi (cause)cha vifo hivyo.
Lakini uchunguzi wa Polisi eti unaendelea 🙄 🙄
 
Jiko la mkaa ni baya sana kulala nalo chumbani, ukipitiwa na usingizi ukalala huku jiko hilo likiwa linawaka unalala moja kwa moja, yaani unafia usingizini. Ukishituka ukabahatika kunyanyuka utajikuta huna nguvu za kutembea na unaweza kudondoka chini kama umepalalaizi, ukipata hewa safi nguvu zinarejea. Madirisha yafunguliwe hewa safi iingie ndani
 
Jiko la mkaa ni baya sana kulala nalo chumbani, ukipitiwa na usingizi ukalala huku jiko hilo likiwa linawaka unalala moja kwa moja, yaani unafia usingizini. Ukishituka ukabahatika kunyanyuka utajikuta huna nguvu za kutembea na unaweza kudondoka chini kama umepalalaizi, ukipata hewa safi nguvu zinarejea. Madirisha yafunguliwe hewa safi iingie ndani
Upo sahihi kabisa , iliwahi kunitokea, Nikiwa mtoto huko mkoani njombe .tulilala na jiko la mkaa na nyumba za kijijini hazina ventilation, bahati yetu ni ilikuwa msibani kuna watu walilala nje ya nyumba wakasikia dada anakohoa na kuhangaika ndo kuja kufungua mlango na kutuokoa .
It is a very easy way of dying , maana unalala unapitilizia kwenye comma na kuondoka zako duniani.
 
Jiko la mkaa ni baya sana kulala nalo chumbani, ukipitiwa na usingizi ukalala huku jiko hilo likiwa linawaka unalala moja kwa moja, yaani unafia usingizini. Ukishituka ukabahatika kunyanyuka utajikuta huna nguvu za kutembea na unaweza kudondoka chini kama umepalalaizi, ukipata hewa safi nguvu zinarejea. Madirisha yafunguliwe hewa safi iingie ndani
Jiko la Mkaa unalala nalo ndani ili iweje? Hujaenda shule hata kidogo?
 
Back
Top Bottom