Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wanafanya uchunguzi huo? Maisha yetu raia wa kawaida hayana thamani kwa watawala.Toxicology report ya Doctor inasemaje?,ni hewa ya sumu?,hizi taarifa za kipolisi ziwe zinaandamana na report's za kitaalamu
Itakua walikwepa lisiloe mvuaJamaa ana mika 28 mke 29, hapo amri ya kuliweka jenereta ndani ilitoka mkewe? Mwanaume anapaswa kuwa kichwa cha familia lakini pia kuilinda familia.
Wapumzike kwa amani.
Nanukuu "kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha." Hapo umetoa Scientific explanation ya kisababishi (cause)cha vifo hivyo.Watu wengi wanajua kuvuta hewa chafu ni ushuzi, harufu ya kinyesi au uvundo na uozo fulani kumbe hewa chafu ni hewa safi inapokosekana na hewa chafu kama kuungua kwa mkaa ndani ya chumba kidogo hufanya mzunguko wa hewa safi kuingi na mtu kuishia kuishia kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha. Kuungua mkaa ndani ya nyumba hukuu madidirisha na milango ikiwa imefungwa ni hatari sana
Upo sahihi kabisa , iliwahi kunitokea, Nikiwa mtoto huko mkoani njombe .tulilala na jiko la mkaa na nyumba za kijijini hazina ventilation, bahati yetu ni ilikuwa msibani kuna watu walilala nje ya nyumba wakasikia dada anakohoa na kuhangaika ndo kuja kufungua mlango na kutuokoa .Jiko la mkaa ni baya sana kulala nalo chumbani, ukipitiwa na usingizi ukalala huku jiko hilo likiwa linawaka unalala moja kwa moja, yaani unafia usingizini. Ukishituka ukabahatika kunyanyuka utajikuta huna nguvu za kutembea na unaweza kudondoka chini kama umepalalaizi, ukipata hewa safi nguvu zinarejea. Madirisha yafunguliwe hewa safi iingie ndani
Tunapishana uelewa mkuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hawana fensi ama nini toka lin jenereta linaekwa ndani dah
Usiwaamini sana Askari na WaandishiJamaa ana mika 28 mke 29, hapo amri ya kuliweka jenereta ndani ilitoka kwa mkewe? Mwanaume anapaswa kuwa kichwa cha familia lakini pia kuilinda familia.
Wapumzike kwa amani.
Hii dunia ina mambo mengi mno!Ukwasi huo !! kuna jamaa yangu umeme ukikatika dk 5 tu watoto wanalia kama wamefinywa , ni lazima genetator liwashwe .
Jiko la Mkaa unalala nalo ndani ili iweje? Hujaenda shule hata kidogo?Jiko la mkaa ni baya sana kulala nalo chumbani, ukipitiwa na usingizi ukalala huku jiko hilo likiwa linawaka unalala moja kwa moja, yaani unafia usingizini. Ukishituka ukabahatika kunyanyuka utajikuta huna nguvu za kutembea na unaweza kudondoka chini kama umepalalaizi, ukipata hewa safi nguvu zinarejea. Madirisha yafunguliwe hewa safi iingie ndani
Moshi wa jenereta ni mbaya sana, yani ukika hata nje tu karibu na jenereta moshi wake unakera. Seuze ulale nalo aisee ni shida. Its better kulichimbia underground kisha ukalifungia huko.Duuh! Ajali kama hiyo ya Moshi wa jenereta iliwahi kutokea Zanzibar mwaka Fulani hivi,wanafamolia 8 walipoteza maisha.
Mikoa ya baridi wanalala nayo. Heater za ndani hamnaJiko la Mkaa unalala nalo ndani ili iweje? Hujaenda shule hata kidogo?