Dar: Watu wanne wa familia moja wafariki baada ya kuvuta hewa chafu ya jenereta

Dar: Watu wanne wa familia moja wafariki baada ya kuvuta hewa chafu ya jenereta

hakuna kitu kama hicho fanyeni uchunguzi vizuri moshi peke yake wa generator hauwezi kuua mtu simple hivo …
yaani mpaka mtu anazidiwa anashindwa kupumua ashindwe hata kutoka nje ya nyumba ili avute hewa safi?

Polisi kuweni serious bhana
 
Hao watakuwa siyo wabongo asilia
Mbongo asilia afe hivyo ni ngumu

Any way poleni wafiwa

Ova
 
Watu wengi wanajua kuvuta hewa chafu ni ushuzi, harufu ya kinyesi au uvundo na uozo fulani kumbe hewa chafu ni hewa safi inapokosekana na hewa chafu kama kuungua kwa mkaa ndani ya chumba kidogo hufanya mzunguko wa hewa safi kuingi na mtu kuishia kuishia kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha. Kuungua mkaa ndani ya nyumba hukuu madidirisha na milango ikiwa imefungwa ni hatari sana
Hii kitu inatokeaga sana,sehemu za baridi
Nilikuwa naendaga sana milima ya usambara juu huko kna baridi ,usiku mkiwa ndani mnaletewa kuni iliyowashwa sasa unakuta wengine kuni inawashwa ndani na dirisha anafunga ,hapo lzm mtu akauke

Ova
 
Back
Top Bottom