Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ni upumbavu mno kurisk maisha kijinga namna hio na zaidi nahisi ni kukosa elimuMikoa ya baridi wanalala nayo. Heater za ndani hamna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni upumbavu mno kurisk maisha kijinga namna hio na zaidi nahisi ni kukosa elimuMikoa ya baridi wanalala nayo. Heater za ndani hamna
Ndio hivyo muhimu elimu itolewe kwa kina.Ni upumbavu mno kurisk maisha kijinga namna hio na zaidi nahisi ni kukosa elimu
Kawaida mbona kwa watu wa Munyaazi mungu, au wale wa vijijini.Hivi wanakuaga na uhakika na huo umri au wanazania tu maana kah 28 kwa 29 wana watoto watatu
Hii kitu inatokeaga sana,sehemu za baridiWatu wengi wanajua kuvuta hewa chafu ni ushuzi, harufu ya kinyesi au uvundo na uozo fulani kumbe hewa chafu ni hewa safi inapokosekana na hewa chafu kama kuungua kwa mkaa ndani ya chumba kidogo hufanya mzunguko wa hewa safi kuingi na mtu kuishia kuishia kuvuta hewa iliyochafuka kwa carbonmonoxide na kuishia kupoteza maisha. Kuungua mkaa ndani ya nyumba hukuu madidirisha na milango ikiwa imefungwa ni hatari sana
Heater ya kutumia nini umeme au solarMikoa ya baridi wanalala nayo. Heater za ndani hamna
Ukiweka jiko la mkaa ndaniNi upumbavu mno kurisk maisha kijinga namna hio na zaidi nahisi ni kukosa elimu
Mkuu huo ni udhibitisho kwamba TANESCO bado sana. Kama hapo ni Dar je huko Kwenye REA?Ukwasi huo !! kuna jamaa yangu umeme ukikatika dk 5 tu watoto wanalia kama wamefinywa , ni lazima genetator liwashwe .
Sawa kabisa. TANESCO wanastahili lawama zote.January Makamba ndo katufikisha Hapa[emoji26]
Nazijua za umemeHeater ya kutumia nini umeme au solar
Ova
Watu wanashindwaje kulala giza kwa usiku mmoja! Yan mnalala na kelele za generator! Pole kwao.
Kwani haiwezekani? Kama mwanamke kaanza kuzaa na miaka 20 kwann asiwe naoHivi wanakuaga na uhakika na huo umri au wanazania tu maana kah 28 kwa 29 wana watoto watatu
Hao watakua watoto wakishua ka sio warabu au wahindi sijuiHivi wanakuaga na uhakika na huo umri au wanazania tu maana kah 28 kwa 29 wana watoto watatu