Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Kuna habari Ililetea humu kwamba kuna Mwanamke aliuwawa tarehe 1.1.2022 maeneo ya Tabata Segerea na kutolewa figo.

Jeshi la polisi limewakamata watuhumiwa 2 waliokiri kuhusika na mauaji hayo.
Kweli marehemu alikua kicheche ka alotongozwa na huyo baunsa na akakubali kulala nae kasheshe
 
Alipangiwa kufa hivyo na nani?
 
Labda hawataki kuangalia hiyo video. Bajeti ya MB
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…