Dar yageuka `Sodoma` kwa ngono za wazi hadharani

Dar yageuka `Sodoma` kwa ngono za wazi hadharani

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
attachment.php

Unaweza usiamini lakini ndivyo hali ilivyo katika eneo moja jijini Dar es Salaam, ambalo limegeuzwa kuwa soko la wazi la kufanyia vitendo vya ngono hadharani. Eneo hilo lililopo Mbagala Zakhem katika manispaa ya Temeke, limekuwa maarufu na kuwavutia wanawake wengi na wanaume wanaojihusisha na biashara hiyo haramu.


Jeshi la polisi limethibitisha kuwa na taarifa za kuwapo kwa eneo hilo na kufanyika kwa biashara ya ngono hadharani. Kamanda wa Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Engelbert Kiondo anasema, "ninalijua eneo hilo na biashara haramu inayofanyika, tunajipanga kupata namna bora ya kuidhibiti."

Vitendo hivyo viovu vimekuwa vikifanywa nyakati za usiku. Kutokana na uwepo wa hali hiyo, eneo hilo limekuwa na mlundikano wa mipira ya kiume (kondom) na kusababisha afya za watu hasa watoto kuwa hatarini, huku mazingira yakizidi kuchafuka. Uchunguzi umebaini wanawake wanaofanya biashara hiyo hutembea na wanaume kufikia zaidi ya 10 kwa siku.

HALI HALISI
Mara ya kwanza ukifika eneo la Zakhem jirani na ukumbi maarufu wa burudani (jina linahifadhiwa), huwezi kufikiria kama eneo hilo nyakati ya usiku linageuka kuwa eneo lile la Sodoma na Gomora iliyosimuliwa kwenye vitabu vya dini. Eneo hilo lenye hali ya utulivu nyakati za mchana, kuanzia saa 1:00 usiku, hubadilika na kuwa danguro la aina yake linalofanana na ‘soko la wazi la ngono', ambapo hali hiyo huendelea hadi nyakati za alfajiri.

Ndani ya ‘soko' hilo lenye idadi kubwa ya wanawake wanauza miili yao maarufu kama changudoa ama dada poa, hakuna utaratibu wa kufanya vitendo hivyo katika faragha, badala yake inafanyika kwenye maeneo ya wazi. Vitendo hivyo vinapofanyika, vinashuhudiwa na watu waliopo maeneo ya karibu, wengine wakisubiri zamu zao kutoka kwa mwanamke mhusika.

Wakati hali ikiwa hivyo, wanaume waliogundulika kufika kwenye maeneo hayo ni wenye umri wa kati ya miaka 15 hadi 50, wakiwa wenye hadhi na nyadhifa tofauti. Gharama iliyobainika kutozwa kwa kila tendo la ngono linapofanyika mara moja, ni Shilingi 3,000.

Eneo hilo linazungukwa na vibanda vya mama lishe, likiwa na ukubwa takribani mita 25. Mmoja wa wanawake wanaofanya biashara hiyo (jina linahifadhiwa), anasema yupo na wenzake zaidi ya 30 na wana uwezo wa kuwahudumia wanaume kati ya 100 hadi 300.

"Hapa kila mtu anapata fedha kulingana na nguvu yake, sasa ukitafuta chumba utapoteza muda ni bora tuwahudumie hapa kwenye eneo la wazi huku wengine wakitusubiri," anasema mwanamke huyo. Hata hivyo, alisema kwa upande wake, usiku huo alikuwa amekutana na wanaume 25 na kufanikiwa kujikusanyia Shilingi 50,000.

Alisema wateja wao wameshazoea kufanya ngono kwenye eneo la wazi. "Si unaona watu wote wale wanasubiri wenzao wamalize, ni vyema wakaangalia, wanapoona mwenzao amemaliza yeye aingie," aliongeza kusema huku akionyesha kundi la watu zaidi ya 20 wakiwa pembeni wakisubiri.

BABU AONGOZA
Kwenye eneo hilo kuna kiongozi wao ambaye anafahamika kwa jina moja la Babu, yeye ndiye mwenye mamlaka ya ulinzi na kutoza faini kwa anayekiuka taratibu walizojiwekea. Hata hivyo, kazi nyingine ya Babu ni kukusanya kondom zinazotumika ama kutupwa hovyo kwenye eneo hilo.

Babu, anasema kwa kawaida anaokota kiasi ndoo tatu za kondomu zilizotumika. "Kazi yangu ni kuwalinda (wanaofa
nya ngono) dhidi ya vurugu zinazoweza kutokea, na kufanya usafi," anasema.

Hisani ya Nipashe, na itaendelea......
 

Attachments

  • machangudoa.JPG
    machangudoa.JPG
    64.7 KB · Views: 22,601
Kazi ya Babu nyingine ni kuchukua shilingi elfu moja kwa kila mwanaume anayeingia kufanya ngono kwenye chumba ambacho kinawachukuwa watu ishirini ambao wanafanya ngono kwa wakati moja. Pesa anayoichukuwa Babu ni kwa ajili ya kuwalipa Polisi wa doria pindi wakipita kuchukuwa makusanyo as well kuwalipa polisi jamii.
 
Dunia imekwisha sasa! Lakini kwa nini unatuwekea picha za wazungu na sio za Mbagala?
 
Huyu jamaaa atakuwa na matatzo,et anasema n mbagala!!!!!hahahaha GT


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
Mbona picha ni za nchi nyingine kabisa?
 
Kazi ya Babu nyingine ni kuchukua shilingi elfu moja kwa kila mwanaume anayeingia kufanya ngono kwenye chumba ambacho kinawachukuwa watu ishirini ambao wanafanya ngono kwa wakati moja. Pesa anayoichukuwa Babu ni kwa ajili ya kuwalipa Polisi wa doria pindi wakipita kuchukuwa makusanyo as well kuwalipa polisi jamii.

upo sawa mkuu na babu hayupo peke yake anashirikiana na policcm wanakua kwenye banda la kitimoto la pale mbele kwa kifupi wanaulinzi tosha tu.
 
mkuu hizo picha siyo za dar..ila kama jambo hilo lipo dara lakini picha hizo hazina mahusiano na sehemu uliyoitaja..kwani watu wanao-onekana katika picha ni dhahiri kuwa siyo wabongo.
 
Mleta mada kaleta mada ya ukweli, ila sijui kwa nini ameweka picha ambazo siyo za sehemu usika.
 
Kumbe unamaanisha kwamba polisi wa doria wamehalalisha hiyo biashara kuwa halali badala ya kuwa haramu?
 
HALI HALISI
Mara ya kwanza ukifika eneo la Zakhem jirani na ukumbi maarufu wa burudani (
jina linahifadhiwa), huwezi kufikiria kama eneo hilo nyakati ya usiku linageuka kuwa eneo lile la Sodoma na Gomora iliyosimuliwa kwenye vitabu vya dini. Eneo hilo lenye hali ya utulivu nyakati za mchana, kuanzia saa 1:00 usiku, hubadilika na kuwa danguro la aina yake linalofanana na ‘soko la wazi la ngono', ambapo hali hiyo huendelea hadi nyakati za alfajiri.


Acheni kuficha uhalifu, ukumbi ni wa Dar Live. Hata siku moja sijawahi kuona magazeti ya Shigongo yanafanya ufukunyuku wa operation nini sijui pale.
 
Hizi ni Picha nilizopiga jana mchana nilipotembelea eneo hilo. Ni jambo la kusikitisha na linachafua sura ya eneo la Mbagala.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    56 KB · Views: 1,883
  • image.jpg
    image.jpg
    52.4 KB · Views: 1,799
  • image.jpg
    image.jpg
    34.7 KB · Views: 1,714
  • image.jpg
    image.jpg
    47 KB · Views: 1,646
...tunashukuru kwa taarifa na picha za eneo la tukio Mh mbunge Dr. Ndugulile,ila ukiwa kama mwakilishi umechukua hatua gani zaidi ili kukomesha suala hili katika jimbo lako?...
 
Hizi ni Picha nilizopiga jana mchana nilipotembelea eneo hilo. Ni jambo la kusikitisha na linachafua sura ya eneo la Mbagala.

Jukumu lenu kuhakikisha kuna ajira za kutosha, kuleta wawekezaji wa kuleta/kutengeneza viwanda na sio wakuchukua ardhi na kuacha kuuza viwanda kwa so called wawekezaji wanaogeuza viwanda kuwa ma-godown..., Watu wanapokosa ajira na cha kufanya na kuwa na muda mwingi matokeo yake ndio hayo..., "Idle Hands are the Devils Playthings.."
 
Hizi ni Picha nilizopiga jana mchana nilipotembelea eneo hilo. Ni jambo la kusikitisha na linachafua sura ya eneo la Mbagala.

Sehemu zenyewe mbona chafu hiviii?? Si harufu ya K tu eneo hilo??
Na usikute mwanaume kaacha kitanda chake kizuri na mkewe nyumbani anaenda huko pyuuuu... dunia inakwishaa
 
ee Mungu turehemu waja wake kweli duniani inapoelekea kila mtu ana shda lakin sio kutafta hela kwa njia haramu na nyie wanaume mngeacha kununua biashara ingekufa ningekuwa serikali ningewakamata wote nawaweka kwenye makambi na kuwapa training za mambo mbali mbali na kuwapa mikopo waache hyo biashara atakayerudia apewe adhabu kali
 
Sehemu zenyewe mbona chafu hiviii?? Si harufu ya K tu eneo hilo??
Na usikute mwanaume kaacha kitanda chake kizuri na mkewe nyumbani anaenda huko pyuuuu... dunia inakwishaa

Raha ya ngono zembe harufu. iwe ya kinyesi aau yapapuchi ilimradi harufu mbaya
 
Ila jamani machangudoa watamu sana. Mimi sijui ni kwanini. Kwanza wanajua sana hao tofauti na wale wa mitaani.

Mh mbunge Dr F. Ndugulile embu tusaidie kutafuta kibali kwa hawa wadada wawe huru, katika sehemu huru as well walipe kodi

Natanguliza shukrani
 
Last edited by a moderator:
ee Mungu turehemu waja wake kweli duniani inapoelekea kila mtu ana shda lakin sio kutafta hela kwa njia haramu na nyie wanaume mngeacha kununua biashara ingekufa ningekuwa serikali ningewakamata wote nawaweka kwenye makambi na kuwapa training za mambo mbali mbali na kuwapa mikopo waache hyo biashara atakayerudia apewe adhabu kali

We princess hujui kwamba nyie wanawake ndio mnasababisha tunachepuka. Mume anaomba uroda unampatia kama si haki yake vile. mara nyingine unasingizia kichwa au tumbo u kuchoka wakati ndume inataka kuimarisha ndoa. Kesho yake akitoka Darlive lazima apunguze genyege kabla ya kurudi home. bia ya leo buku 2 lazima atafute papuchi ya bei poa.
 
Ila jamani machangudoa watamu sana. Mimi sijui ni kwanini. Kwanza wanajua sana hao tofauti na wale wa mitaani.

Mh mbunge Dr F. Ndugulile embu tusaidie kutafuta kibali kwa hawa wadada wawe huru, katika sehemu huru as well walipe kodi

Natanguliza shukrani

Chukua changu wako peleka guest ya heshma kula hadi uingie chumvini hakuna atakae kubughudhi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom