tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Ninachoweza kufahamu ni kwamba Mbunge amejitahidi kutambua na kufuatilia tatizo lililopo, lakini tujue kila mtu ana mipaka yake kiutendaji na si kazi ya mbunge kuwashika na kuwashtaki wahalifu.
Baada ya mbunge kutembelea sehemu hiyo na kuchukua picha za maeneo husika zinazoashiria kuwepo kwa matukio hayo sina shaka anawasiliana na vyombo husika kuchukua hatua katika kukabiliana na tatizo hili. Nasisitizi si kazi ya mbunge kuwashika au kuwashtaki wahusika ila kuwasiliana na vyombo husika. Ni mapema mno maana kasema jana tu ametembelea eneo la tukio na tumpe nafasi ya hatua anazozichukua kuwasiliana na vyombo husika.
CC; Dr F. Ndugulile
Yeye kasema kwamba hana comment. Haya maneno alipaswa ayaseme yeye, au amekuPM akakuomba umsaidie kujibu?