Dar yageuka `Sodoma` kwa ngono za wazi hadharani


Yeye kasema kwamba hana comment. Haya maneno alipaswa ayaseme yeye, au amekuPM akakuomba umsaidie kujibu?
 
Kuna kaukweli fulani hivi ndani yake
 
Yeye kasema kwamba hana comment. Haya maneno alipaswa ayaseme yeye, au amekuPM akakuomba umsaidie kujibu?

Mbunge kajibu kifalsafa, kwa maneno mengine bora kunyamaa kuliko kujibizana na watu wasioelewa taratibu za uwajibikaji. Mapema mno kumnyoshea kidole mbunge, kuna ushirikisha vyombo husika vyenye kuchukua jukumu na dalili kwamba mbunge hajaridhishwa na tukio hilo hadi kafunga safari kutembelea eneo husika na kutushirikisha taswira hizo hapa jukwaani kuna credit ambazo anastahili kupewa.
 

Well said! Ni vizuri kuikomesha biashara hii haramu inayodhalalisha heshima na utu wa mwanadamu! Polisi waachane kutumia mbinu za kizamani. wawashughulikie zaidi wale wanaoifanya biashara hii kushamiri ambao ni wanaume.... Wanaume wengi wanachelea sana kuaibika. Wakitiwa msukosuko dada poa watakosa wateja na hivyo kuachana na biashara yenye.. If the demand is curbed automatically the supply will dry up.
Serikali ktk ngazi zote (taifa, jiji, manispaa kata) nayo itengeneze mazingara na fursa kwa wananchi wake kujipatia vipato halali..Nasi wananchi tuchape kazi! Watanzania wote wanastahili kuishi maisha yenye utu na heshima.
 
Mtaji wa maskini ni "mwili" wake jamani!
 
Hatua zimechukuliwa. Madanguro yamevunjwa na kusafishwa leo mchana.

Mbona sasa nimepita maeneo hayo kazi zinaendelea mkuu! au umepata ripoti vibaya.....

Natokea konge nimeona habar hii nikapita hapo tena wamenirukia nikalala mbio.
 
Mbona sasa nimepita maeneo hayo kazi zinaendelea mkuu! au umepata ripoti vibaya..... Natokea konge nimeona habar hii nikapita hapo tena wamenirukia nikalala mbio.

Hatua zimechukuliwa. Madanguro yamevunjwa na kusafishwa leo mchana.
Kigamboni na Tanzania kwanza

Mh kwanza habari za Bunge la Katiba, au hukuhudhuria
Naomba tena uifuatilie hii Habari ni kweli wamerudi, SAIDIA kusafisha hapo mahali, Tuana watoto huko Dodoma Mama zao wapo hapo Mbagala, wanadai wamepata ajira. inaelekea bado
cc Candid Scope
 
Mbona sasa nimepita maeneo hayo kazi zinaendelea mkuu! au umepata ripoti vibaya.....

Natokea konge nimeona habar hii nikapita hapo tena wamenirukia nikalala mbio.

Tumplekee habari hiyo Mbunge Faustine aende akafanye ukaguzi tena maana hawa polisi jamii hawaeleweki huenda ndio wateja wakuu pale maana biahsara hizo ni za majira ya jua likishazama na wao polisi ndio wako zamu.
 
Aseee
 
Tumplekee habari hiyo Mbunge Faustine aende akafanye ukaguzi tena maana hawa polisi jamii hawaeleweki huenda ndio wateja wakuu pale maana biahsara hizo ni za majira ya jua likishazama na wao polisi ndio wako zamu.
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…