Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Umeandika Nini binti maringo?cheusi mangala...embu rudia kuandika MREMBO....

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Na unashangilia kutokuwa hewani..., aisee WATU wa lumumba akili mmemwachia Nani?polepole au?

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
We umeona wapi nimeshangilia? Hoja yangu Ni kwamba kama kuna mtu bado alikuwa hajaleta uzi wake hapa hasa ile ya kujifariji kuwa Lissu atashinda aulete hapa kabla ya kesho, maana baada ya kesho tutakuwa busy na nyuzi za malalamishi kutoka ufipa.
Kwa kuwa tayari jamaa ni mteja wa ICC kupitia matukio ya visiwani, HAKUNA shaka
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…