Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Dar: Yaliyojiri Kawe kwenye Mkutano wa kufunga kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu

Wakuu hapa tatizo linakuja kwa wazee tu maana wao wanahisi Mambo bado yako vile vile ni wagumu kinoma kuelewa but baadhi watakuwa wamebadilika kwa baadhi ya mikoa?
 
Akamatwe Huyu Akifikaaa Dar ivi kwanini Ahatarishe Maisha Ya watu Wengine huko Angani kwa Kukiukwa Sheriaa Mbona Anatupanda Vichwani huyuuuuuu Kibarakaa
Ni uzembe wenu, hata kwa risasi 16 mlimkosa.
 
Pole Lissu, ulijaribu ila ndo hivyo tena wananchi hawakukupenda kwa kutaka kuifanya Tanzania kuwa nchi ya mashoga kama wewe. Kachukue uraia wa Kenya na kalazimishe wakenya wawe mashoga uone itakuwaje.
 
Wakuu hapa tatizo linakuja kwa wazee tu maana wao wanahisi Mambo bado yako vile vile ni wagumu kinoma kuelewa but baadhi watakuwa wamebadilika kwa baadhi ya mikoa?
Kadiri siku za kampeni zilivyokuwa zinsogea ndio ambavyo baadhi ya watu wamekuwa na uelewa na umuhimu wa kuifuta kijani Tz. Walikuwa hawaelewi somo kbs lkn maisha yamewawia magumu, wanapiga miayo yangu asubuhi hadi jioni hawajapata vibarua walivyozoea, wameamua kwa hiari yao kumalizana na kijani leo.
 
Pole yako kampe Mkoloni mweusi huko Chato aliyetamani kutufanya wajinga milele wakati anajua fika kuwa hii nchi na mali ya Mungu na tulipewa watanzania wote ni mali yetu
Hizo 5 zimekoma leo kwa huyo mkoloni mweusi mpe pole yake
Pole Lissu, ulijaribu ila ndo hivyo tena wananchi hawakukupenda kwa kutaka kuifanya Tanzania kuwa nchi ya mashoga kama wewe. Kachukue uraia wa Kenya na kalazimishe wakenya wawe mashoga uone itakuwaje.
 
Pole yako kampe Mkoloni mweusi huko Chato aliyetamani kutufanya wajinga milele wakati anajua fika kuwa hii nchi na mali ya Mungu na tulipewa watanzania wote ni mali yetu
Hizo 5 zimekoma leo kwa huyo mkoloni mweusi mpe pole yake
Ni kweli hii nchi ni mali ya Mungu na ndiyo maana Mungu huyo huyo katuletea Magufuli kuja kutufungua macho watanzania na waafrika wapenda maendeleo. Nashukuru Magufuli kashinda tena uchaguzi aje kushikisha adabu watanzania wasiopenda kazi kama wewe, pole sana. Fanya kazi la sivyo utaishia kulala njaa na kumlalamikia Magufuli wakati tatizo ni lako wewe.
 
Mungu hapendi watu waongo, wanafiki, wauaji wenye kujipenda wenyewe
Mkoloni mweusi ni baba wa mambo yote yasiyompendeza Mungu naye Mungu ameondoa pahali pake urais wake amepewa Tundu Lissu huyo ndiye mteule wa Mungu atakayeiongoza Tanzania kwa sasa
Ni kweli hii nchi ni mali ya Mungu na ndiyo maana Mungu huyo huyo katuletea Magufuli kuja kutufungua macho watanzania na waafrika wapenda maendeleo. Nashukuru Magufuli kashinda tena uchaguzi aje kushikisha adabu watanzania wasiopenda kazi kama wewe, pole sana. Fanya kazi la sivyo utaishia kulala njaa na kumlalamikia Magufuli wakati tatizo ni lako wewe.
 
Mungu hapendi watu waongo, wanafiki, wauaji wenye kujipenda wenyewe
Mkoloni mweusi ni baba wa mambo yote yasiyompendeza Mungu naye Mungu ameondoa pahali pake urais wake amepewa Tundu Lissu huyo ndiye mteule wa Mungu atakayeiongoza Tanzania kwa sasa
Tundu Lissu aongoze Tanzania, una ndoto za hajabu kweli?
 
Ana uwezo mkubwa sana kuliko huyo mjomba wenu
Umesahau kuwa alikuwa anakampeni watanzania kuwa mashoga, na alikuwa anatetea wazungu waendelee kutuibia mali zetu (makinikia) huku akitishia serikali kuwa tutashitakiwa na mabwana zake kama tukikamata mali zetu zisiende nje ya nchi? Huyu ndiye rais kweli, mbona tulikamata mali zetu na hatujashitakiwa ila tunalipwa fidia na mabwana zake? kajipige vidole huko na wewe kama bado una hasira.
 
Mashoga, wezi wa raslimali za taifa, wadhurumaji hao ni baadhi tu ya Wadau wakuu wanaokiwezesha chama (ccm)
Nakushangaa unaporusha mpira kwa Tundu Lissu eti anawatetea mashoga ama alileta ushoga
Makonda alipotangaza vita dhidi ya mashoga serikali ya ccm ilitoa tamko la kukanusha kuwa halihusiki na vita alipotangaza Makonda dhidi ya mashoga
Najua huwezi kuwa na uelewa wowote kuhusu siri ya ushoga na ushirikiano wa mashoga na chama tawala kwa kuwa wewe ni zumbukuku, Zuzu wa kutupwa QUOTE="Mkereketwa_Huyu, post: 37175844, member: 37640"]
Umesahau kuwa alikuwa anakampeni watanzania kuwa mashoga, na alikuwa anatetea wazungu waendelee kutuibia mali zetu (makinikia) huku akitishia serikali kuwa tutashitakiwa na mabwana zake kama tukikamata mali zetu zisiende nje ya nchi? Huyu ndiye rais kweli, mbona tulikamata mali zetu na hatujashitakiwa ila tunalipwa fidia na mabwana zake? kajipige vidole huko na wewe kama bado una hasira.
[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom