barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Hata salim kikeke hawezi ongea hii pale bbc.Ni majitu machache mabinafsi yakina kigogo ndio yalikuwa yanachafua taswira ya JPM...
leo haliwezi kuposti hizo picha za wananchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata salim kikeke hawezi ongea hii pale bbc.Ni majitu machache mabinafsi yakina kigogo ndio yalikuwa yanachafua taswira ya JPM...
leo haliwezi kuposti hizo picha za wananchi
Ngoja nikusaidie maana hii Kichwa yako inaonyesha ngumu kinyama cjui ulisoma shule ganAzory Gwanda, Kanguye, Akwilini Akwilini.
Mwambie Chuma aendelee kubweka Live TBC
Kwa akili hizi sidhan kama taifa tutatoboa.. tutabaki wakujilinganisha kila siku
KwikwikwikwikwikwikwiNgoja nikusaidie maana hii Kichwa yako inaonyesha ngumu kinyama cjui ulisoma shule gan
Ni Akwilina akwilini
Wewe ni mjinga tu kati ya wajinga wenzako na huna lolote unanipotezea muda, take your time.kwan una msaada gan kwangu? we ni marehem mtarajiwa lakini unavoropoka kama unampangia Mungu vile
Tusimwachie tu ahukumu bali tumfikishie maombi yetu ya rehema juu ya jemedari wetu mpendwa Mh Dr JPM! Ili apumzishwe ktk raha ya milele, amen!Ndugu yangu kejeli kwa marehemu si nzuri. Kumbuka hapa duniani hakuna mkamilifu ukiwemo na wewe na Mimi pia. Hebu tujifunze kuheshimu marehemu tafadhari, hukumu tumuachie Mwenye mamlaka hiyo, naye si mwingine awaye yote, Bali Ni Mwenyezi Mungu tu.
Haiwezekani,we tahira,Pm lazima awe mbunge wakuchaguliwa..jinga wewe, kwaiyo Pro Asad awezi pewa ubunge wa kuteuliwa then akapewa u-PM??
Ona sasa mnataka avunje katiba! Mtu akishakuwa CAG hapaswi kushika nafasi yoyote katika utumishi wa uma...kwakweli,me namuomba madam president abadilishe DPP pia, uyu aliepo ni chanzo cha mlundikano wa cases nying mahakaman ,,, na pia akipenda amteue Pro Mussa Asad kuwa Prime minister au Vice President
hutaki tena 🤔Kwikwikwikwikwikwikwi
Mnafiki huyoNimefurahi sana kumuona baba yangu Kardinali Pengo uwanjani yuko fit mzima wa afya na hana barakoa
(?) ni swali.We wasema
Watakuepo chato kwenye Misa ya mazishi,Ila hapo angalu Ruwachi angekuepo
Walinzi wako?nimecheka hapa Taifa hadi Walinzi wangu wamestuka , mkuu taratibu basi tuko uwanjani hapa
Umeona wanachofanya wananchi barabarani?
PM majaliwa alichaguliwa na nani???Haiwezekani,we tahira,Pm lazima awe mbunge wakuchaguliwa..