Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Napita taifa hapa tayari jezi za CCM toka sehemu mbalimbali za jiji wanawasili na mabasi na kuingia uwanja wa uhuru askari pia wengi
 
Mtoa mada ni kati ya watu wa ajabu sana, hawa ndio walikuwa wanakesha humu kutetea upuuzi kuwa corona haipo na tutalindwa na mungu??Tahadhari ni muhimu mno na baadae mungu ananyoosha njia.

Haiwezekani watu wa karibu vile wafe kwa kufuatana namna ile.Tena ndani ya muda mchache.

Mtoa mada ni mmoja ya wapumbavu tuliobarikiwa nchi hii
 
Ahsante kwa taarifa... Huzuni na simanzi kubwa sana kwa taifa...
 
kwakweli,me namuomba madam president abadilishe DPP pia, uyu aliepo ni chanzo cha mlundikano wa cases nying mahakaman ,,, na pia akipenda amteue Pro Mussa Asad kuwa Prime minister au Vice President
Mujahdeen
 
RIP Dr. Magufuli. Pole sana mama Janet Magufuli na wote mulioguswa na msiba huu.
 
kwakweli,me namuomba madam president abadilishe DPP pia, uyu aliepo ni chanzo cha mlundikano wa cases nying mahakaman ,,, na pia akipenda amteue Pro Mussa Asad kuwa Prime minister au Vice President
Professa Musa Assad ni mwanachama wa CCM?? Ni mbunge wa wapi?? Tumieni akili zenu bhana, sio masaburi
 
Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.

Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.

Hii si sahihi kabisa.
 
Siyo Maaskofu ambao humpeleka mtu peponi, mbinguni bali matendo yake enzi akiwa hai duniani. JPM atajitetea mwenyewe ahera, na pengine ni huko huko atakapokutana na Maaskofu unaowasema hawajafika Kanisa la Mt. Petre.
 
Papa alikimbia madhabahu ya Kanisa kuu Vaticano kwa kuogopa corona mwaka jana, Nini askofu bana? Yaani JPM ni shujaa mfia Imani ya Kumtegemea Bwana Yesu kuliko Pope. Na kuondoka kwake pengine kumewapa ahueni kuhusu kukosa ujasiri wa kumtegemea Mungu.
 
Hata Mimi sijaelewa. Nakumbuka Hayati Mkapa maaskofu walikuwa karibia sita pate St Immaculate Upanga. Mmh
Nafuatilia Misa takatifu ya kumwombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
 
Siyo Maaskofu ambao humpeleka mtu peponi, mbinguni bali matendo yake enzi akiwa hai duniani. JPM atajitetea mwenyewe ahera, na pengine ni huko huko atakapokutana na Maaskofu unaowasema hawajafika Kanisa la Mt. Petre.

Ila Mkuu nasikia JASIRI MUONGOZAJI amechaguliwa kuwa KIONGOZI WA MALAIKA NA WATAKATIFU WOTEE hivi kuna ukweli hapo MATAGA na CHATO au mko na Taarifa yoyote juu ya Huyu aliekua KAYAFA?
 
Back
Top Bottom