Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli ndiyo huyo. Pia inategemea kama wanaalikwa hasa wa Jimbo Mkuu la Mkoa wa DSM. Maana huyu ni mawazo na ukweli na akienda ni lazima awe barakoa na shield. Anajali afya yake na ndiyo muhimu kwa kila mwanadamu. Popote ulipo Askofu Ruaichi jikinge mno bado tunampenda hata ikiwezekana delegate jukumu kama umealikwa. Huendi kumfufua mwamba wa Covid19 kienyeji zaidi#bupiji, planet++, Nimricaf, covidol, fukiza n.kAnaagwa kitaifa Dodoma. Maaskofu utawaona huko au Chato siku ya mazishi. Hii ilikuwa ibada fupi sana.
Magufuli nafasi za juu alifuata iko unachosema katika kuteua!?Sidhani kama wanaweza jazana dini moja kwenye nafasi za juu, kawaida ni mchanganyiko
Nimewahi seat ya mbele kabisa. Nasubiri kwa hamu kulisikia hilo neno kwa utulivu mkubwa.Ameshawasili eneo la tukio. Tutegemee Injili na Neno la Mungu safi lisilogoshiwa.
NB: Nondo zote zipo kwenye hiyo BRIFKESIView attachment 1729878
Padre kwa maana ya Paroko au ..!? Maana anayeongoza misa huwa ni mmojaNafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Sasa huyo ataenda mbinguni? Labda kama hizi hadithi za mbingu ziwe furahisha genge, lakini kama mbingu ipo kama tunavyosimuliwa, huyo mtu muovu haingii.
Sikuwa shabiki wa JPM lakini habari za mbingu zina kanuni ngumu kidogo kuzielewa..dakika za mwisho zaweza kubadilisha muelekeo wa maisha yako kwa nyuzi 360. Jifunze kutoka kwa wale wezi wawili pale msalabani waliokuwa pamoja na Masihi.Sasa huyo ataenda mbinguni? Labda kama hizi hadithi za mbingu ziwe furahisha genge, lakini kama mbingu ipo kama tunavyosimuliwa, huyo mtu muovu haingii.
Nasema hivi jiwe alikuwa mtu muovu hawezi kwenda huko mbinguni, hizo sakraamenti unazijua ww. Hakuna mbingu ya watu waovu, labda akakae kwenye mji wa sakramenti.
NakubaliAmeshawasili eneo la tukio. Tutegemee Injili na Neno la Mungu safi lisilogoshiwa.
NB: Nondo zote zipo kwenye hiyo BRIFKESIView attachment 1729878
Tulia mkuu, Askofu Mkuu yupo uwanjani.Nafuatilia Misa takatifu ya kuuombea mwili wa Aliyekuwa Rais wa JMT, katika kanisa la Mt. Peter kwa hadhi ya msiba ulitakiwa kuwepo na Maaskofu wa kutosha ila sijaona hata mmoja.
Ibada imeendeshwa na Mapadre tu.
Hii si sahihi kabisa.
Linalofungwa duniani na mbinguni limefungwa pia.Najua wanalipa kama kisasi cha kudhalilishwa ile siku ila inaonesha jinsi gani pia wenyewe wanavyokuwa na vinyongo mioyoni afu kanisani wakituhimiza sisi tuache vinyongo😬😬.Anyway twendelee na ibada🚶🚶
Huyo mama akijifanya hamnazo Covid inamuondoa. Avae barakoa.Ruwaichi asisahau kumnasihi Samia
[emoji119][emoji119]Kwa nondo huyo Padri ni nomaaa
Mawaziri wote hawajavaa barakoa. Ama kweli Kinjekitile kaondoka na akili zao.Nakubari
nivizuri Mbwaccm wakaanza kutake Precautions over this Cov19.
Na akiwa kama meko viburi na jeuri juu ya covid maisha yake si marefu. Corona inaua na inapenda sana wenye viburiHuyo mama akijifanya hamnazo Covid inamuondoa. Avae barakoa.
Kwa kweli. Pale kanisani walivyokuwa wamebanana na hawajavaa barakoa wengi wameondoka na kirusi cha Covid.Na akiwa kama meko viburi na jeuri juu ya covid maisha yake si marefu. Corona inaua na inapenda sana wenue viburi