Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Hata jiwe alikuwa mbishi kama wewe, na hiki kitu ndicho kimesababisha kukutanisha watu wengi sana hapo uwanja wa Taifa.
Kuaga dunia nzima inaona kuwa propaganda za Lisu na Chadema uongo na utapeli.Lisu alitoka ubelgiji akiwa kavaa barakoa na kutangaza kuwa Corona ipo Tanzania alipofika Airport barakoa akaitupa chooni miezi yote mitatu ya kampeni hakuvaa

Usidhani wazungu wajinga ukiwatapeli mara moja hawarudii kosa

Ndio maana Lisu alikosa pesa za wafadhili za kulipia mabango ya kampeni au vipeperushi wazungu wakamjua Kuwa Lisu tapeli na mwizi na Amsterdam wake wakagoma kutoa pesa hata za matangazo ya photocopy ya kampeni ya kubandika kwenye miti!!! Kuwa anasema ohhh kuna Corona anafika airport anatupa barakoa haivai hadi siku ya kurudi tena Ubelgiji Wazungu sio wajinga huwezi waibia kiboya hivyo
 
Nilichokiona Leo.kuaga mwili wa Dk Magufuli ni kuwa maaskofu wazeeTanzania wana imani kubwa kwa Mungu kwenye majanga makubwa kama Korona kuliko maaskofu ,Mapadre na Masista vijana walio chini ya umri wao


Nimethibitisha hilo baada ya kumuona Mzee kuliko wote Askofu na Kardinali Pengo hajavaa barakoa wakati inadaiwa kuwa watu wenye umri mkubwa ndio wepesi kudaka Corona kuliko vijana!! maaskofu na mapadre na masista vijana kuliko yeye wanaogopa Corona kumzidi!! Wamevalia mibarakoa wote vijana wadogo.Nikakumbuka Neno la Kristo aliuliza Mwana wa Adam akija ataikuta imani? Namjibu kwa kujiamini kuwa ndiyo utaikuta imani ya ya wengi mmojawapo ni Kardinali Pengo katikati ya Corona asiyevaa barakoa akikuamini wewe akiamini sala hutakiwi kuomba Mungu kwenye Altare ukiwa umemvalia barakoa eti unasali sala ya baba yetu uliye mbinguni huku umemvalia barakoa
Subiria matokeo ya UJINGA aliofanya leo. Yani kuna siku tu mtajikuta mnachukua tahadhari bila hata kusukumwa. Watanzania kwa awamu hii tumekuwa watu wa ajabu sana.
 
Swali ni je wataruhusiwa maana wakati wa mkapa walifungiwa nje hawakuruhusiwa kuingia
 
Mbunge wa Ruangwa ni nan?

Nimekuuliza alichaguliwa na mpiga kura yupi kutoka huko Ruangwa?

Alipata kura ngapi dhidi ya mpinzani wake?

Katiba ya JMT inasemaje kuhusu sifa/vigezo vya mtu kuwa Waziri Mkuu?

Jibu kwa hoja.
 
Kuaga dunia nzima inaona kuwa propaganda za Lisu na Chadema uongo na utapeli.Lisu alitoka ubelgiji akiwa kavaa barakoa na kutangaza kuwa Corona ipo Tanzania alipofika Airport barakoa akaitupa chooni miezi yote mitatu ya kampeni hakuvaa

Usidhani wazungu wajinga ukiwatapeli mara moja hawarudii kosa

Ndio maana Lisu alikosa pesa za wafadhili za kulipia mabango ya kampeni au vipeperushi wazungu wakamjua Kuwa Lisu tapeli na mwizi na Amsterdam wake wakagoma kutoa pesa hata za matangazo ya photocopy ya kampeni ya kubandika kwenye miti!!! Kuwa anasema ohhh kuna Corona anafika airport anatupa barakoa haivai hadi siku ya kurudi tena Ubelgiji Wazungu sio wajinga huwezi waibia kiboya hivyo


Hivi kichwani kwako kupo Sawa kweli?

Swali langu na majibu uliyoyatoa mbona kama haviendani?
 
Nimekuuliza alichagulia na mpiga kura yupi huko Ruangwa?

Alipata kura ngapi dhidi ya mpinzani wake?

Jibu kwa hoja.
Hoja yangu ni kuwa,

Waziri mkuu anatakiwa kuwa ni mbunge ambae anawakilisha jimbo.

Haijarishi amepigiwa kura au amepita bila kupingwa.
 
Muda si mrefu nilikua mwenge,unaambiwa palikua apatoshi boda kama zote watu kibao,Magu katingisha sana.video chini.
20210320_195915.jpg
20210320_201526.jpg
 
Kuna vitu vingine unatamani iwe ndoto.
Nenda magu.[emoji20][emoji20][emoji20]
 
Subiria matokeo ya UJINGA aliofanya leo. Yani kuna siku tu mtajikuta mnachukua tahadhari bila hata kusukumwa. Watanzania kwa awamu hii tumekuwa watu wa ajabu sana.
Ninachojua ni kusubiri ripoti ya Dk Kitima katibu mkuu wa baraza la Maaaskofu katoliki Tanzania kuwa maaskofu na mapadre na masista wangapi wamekufa kwa Corona kwa kipindi cha miezi mingapi.Mitaani kuko poa ila huko miparokiani mnaambukizana korona sana hasa mapadre na Masisita sababu kutwa mko Vatican Italia kwenye Corona
 
Muache haiage nchi ya ndoto zake.
Kwa mara ya mwisho.
Mjue ndo arudi tena hyo.IMETOKA IMEBAKI STORY HATUTAMUONA TENAAAAA.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Mzee kapata tabu sana badala ya kupumzika sasa anazungushwa zungushwa
 
Back
Top Bottom