cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Naongea kwa kauzoefu ka nyomi za wabongo nilizohudhuria ukiona ntu amezimia wengine njaa, misongamano na hewa kuwa ndogoNimekupata sana Cariha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongea kwa kauzoefu ka nyomi za wabongo nilizohudhuria ukiona ntu amezimia wengine njaa, misongamano na hewa kuwa ndogoNimekupata sana Cariha
Cariha Magu anapendwa I see! Hebu mpende na ww basi😭😭! A natural response in human is love ❤️! Ni mzigo sana kumchukia binadamu mwenzio hata kama hapendeki kama tundu, zito, gogo, nk😭!Wewe umechaganyikiwa na msiba si bure kaa chini kunishambulia hakutamfufua mpendwa wako relax
Kwa uzoefu wako hapo 👇 ni nini kati ys hizo ulizozitaja mzoefu mfyuuuuuNaongea kwa kauzoefu ka nyomi za wabongo nilizohudhuria ukiona ntu amezimia wengine njaa, misongamano na hewa kuwa ndogo
Wengine wanashuhudia kama kweli nduli kafaUmati wakutosha, ndani na nje ya uwanja. Hakika huyu mtu alikuwa kipenzi cha watanzania. Pumzika kwa amani.
Wanahakikisha kama kayafa kweliNyerere road mvua inanyesha lakini watu wako barabarani ,hawajali yaani
Watu wanafurahia kwa kuliaMc uwanja wa taifa acha kelele na miziki tunataka tusikie kelele za waombolezaji sio kelele zako na za miziki
Watu wanataka kusikia waombolezaji na vilio vyao wakiaga gari inapopita unavifunika na kelele na miziki yako
Na kweli linaweza fufukaKuna pimbi ilitoa maoni ati wamzike mapema asije akafufuka..[emoji1787]
Watu wanaenda hakikisha kama kafa kweliTizama nyomi ya watu, Kweli jamaa alisema tutamkumbuka.
Angalia msafara kuelekea air port.
Umenena la maana mnoHata ruge alijaza nyomi, pia watanzania hufatilia mambo ku chabo haihusiani na upendo mie mwenyewe nimeenda kuchabo msafara wake na haihusiki na upendo
Wanafiki hao wanaojifanya wanalia na kutandika nguo zaoUnaweza kukimbizana na msafara Kweli Wayule usiyempenda Kweli!
Unaweza tandika khanga njiani kweli!
😂 😂 😂 😂 😂Watu walienda kuangalia mabomu yalivyokuwa yanalipuka Mbagala itakuwa hilo?Hivi hata shetani akiletwa Tanzania na tukaambiwa tutoe kiingilio tutalipa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Umevurugwa pole yakoKwa uzoefu wako hapo [emoji116] ni nini kati ys hizo ulizozitaja mzoefu mfyuuuuu
Wakipenda wafeMagufuli alikuwa anapendwa kwa kweli.Sipati picha kule Mwanza hakika watu watazimia.
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!Umevurugwa pole yako
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!Umevurugwa pole yako
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!Umevurugwa pole yako
Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!
Una spirit ya nguruwe ww eeh😭😭!Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.
Watu wanalazimisha wote wawe na huzuni, wakihuzunika wao inatosha. Sio lazima wote wahuzunike.Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.
[emoji23][emoji23][emoji23]vyovyote utakavoniita as long sio nguruwe hainiumiziUna spirit ya nguruwe ww eeh[emoji24][emoji24]!