Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Dar: Yaliyojiri kuagwa kwa Mwili wa Hayati Dkt. Jonh Magufuli Uwanja wa Uhuru

Carih
Wewe umechaganyikiwa na msiba si bure kaa chini kunishambulia hakutamfufua mpendwa wako relax
Cariha Magu anapendwa I see! Hebu mpende na ww basi😭😭! A natural response in human is love ❤️! Ni mzigo sana kumchukia binadamu mwenzio hata kama hapendeki kama tundu, zito, gogo, nk😭!
 
Naongea kwa kauzoefu ka nyomi za wabongo nilizohudhuria ukiona ntu amezimia wengine njaa, misongamano na hewa kuwa ndogo
Kwa uzoefu wako hapo 👇 ni nini kati ys hizo ulizozitaja mzoefu mfyuuuuu

 
Mc uwanja wa taifa acha kelele na miziki tunataka tusikie kelele za waombolezaji sio kelele zako na za miziki

Watu wanataka kusikia waombolezaji na vilio vyao wakiaga gari inapopita unavifunika na kelele na miziki yako
Watu wanafurahia kwa kulia
 
Hata ruge alijaza nyomi, pia watanzania hufatilia mambo ku chabo haihusiani na upendo mie mwenyewe nimeenda kuchabo msafara wake na haihusiki na upendo
Umenena la maana mno
 
Umevurugwa pole yako
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!
 
Umevurugwa pole yako
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!
 
Umevurugwa pole yako
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!
 
Ukome kujidai unajua matatizo ya watu huku umejifungia chumbani mburula ww! Watu wanauchungu kuondokuwa na kiogozi wao mpendwa! Hakuna aliyevulugwa hapa! Ww ndio uko frustrated na kwa 'incompetence' yako mwenyewe na unahamishia chuki kwa wasiohusika! mfyuuuuuu!
Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.
 
Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.
Una spirit ya nguruwe ww eeh😭😭!
 
Wenye uchungu wote wako labour ward, hafu usiforce tufanane loh na sio kila linakugusa basi limemgusa mwingine. Mimi na enjoy life kwa kujipongeza kwa kula kitimoto.
Watu wanalazimisha wote wawe na huzuni, wakihuzunika wao inatosha. Sio lazima wote wahuzunike.
 
Back
Top Bottom