Dar, Zanzibar: Hofu Maiti 15 zikikutwa kwenye viroba

Dar, Zanzibar: Hofu Maiti 15 zikikutwa kwenye viroba

Duuu sasa hivi ni mwendo wa kuchinja tu kimya kimya aiseee
 
labda zimetoka rwanda maana ndio wanatabia ya kufunga watu kwenye viroba.....tanzania tunakuweka jera....mpinzani gani kauwawa muulizeni kagame!!
 
Acheni kuleta uzushi usio na maana, Bahari haiko Tanzania peke yake, Bahari inatoka mbali, Chochote kinaweza kuwa.
Bahari haiko Tanzania pekee, je mto ruvu?

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Mkuu tunazungumzia bahari. Wewe ndio unaleta habari za mto Ruvu.
Safi mkuu, sasa maiti kama saba zimeokotwa hivi karibuni Zanzibar na zote zimefungwa kwenye viroba. Tanzania mwambao wetu ni mrefu anzia kilwa hadi tanga, kama zimetoka nje ya tanzania zisionekane kote huko?

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
ile department ya forensic pale mambo ya ndani mnafanya nini lakini hizi ndiyo kazi zenu fanyeni kazi.. acheni kuzuruga kwenye semina ambazo huku kwetu hazitusaidii .. halafu wizara embu toeni sponser watu wasome hii course ni muhimu sana sema mnazengua mpo wachache mnaishia kula bata tu.... me nimewamind
 
Safi mkuu, sasa maiti kama saba zimeokotwa hivi karibuni Zanzibar na zote zimefungwa kwenye viroba. Tanzania mwambao wetu ni mrefu anzia kilwa hadi tanga, kama zimetoka nje ya tanzania zisionekane kote huko?

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Mkuu hakuna uhai usio na thamani wote tunahuzunika, lakini tusiwe wepesi wa kulaumu, tuwe na uhakika wa kila tunachokisema, lakini pia tuombe serikali isaidie upatikanaji wa taarifa sahihi badala ya kuoanisha na tofauti zetu za kisiasa, au kuona kama kuna mauaji yanaendelea,Kati yetu akipotea mtu huwezi kutojua. Tusitiane hofu zisizo na ukweli.
 
Mbona round hii miili mingi inapatikana kwenye viroba

OvA
 
Mkuu hakuna uhai usio na thamani wote tunahuzunika, lakini tusiwe wepesi wa kulaumu, tuwe na uhakika wa kila tunachokisema, lakini pia tuombe serikali isaidie upatikanaji wa taarifa sahihi badala ya kuoanisha na tofauti zetu za kisiasa, au kuona kama kuna mauaji yanaendelea,Kati yetu akipotea mtu huwezi kutojua. Tusitiane hofu zisizo na ukweli

Tanzania ni kubwa ndugu, tuna ndugu zetu wengine ambao wako maeneo ya mbali na ni miaka mingi hatujawahi kuonana nao na wala hatuna mawasiliano nao, kwanini tusiwe na hofu? Kiroba cha leo kina mwili hujui wa nani je kiroba kinachofuatia, hofu lazima iwepo.[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Alipokua ziarani mkoani pwani mkuu wa nchi alipata kusikika akisema jukwaani kuwa kwenye utawala wake atapotea mwanadamu lakini si hela ya serikali
 
Tanzania ni kubwa ndugu, tuna ndugu zetu wengine ambao wako maeneo ya mbali na ni miaka mingi hatujawahi kuonana nao na wala hatuna mawasiliano nao, kwanini tusiwe na hofu? Kiroba cha leo kina mwili hujui wa nani je kiroba kinachofuatia, hofu lazima iwepo.[emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]

nafight with my weather[emoji23][emoji23]
Mkuu ndugu yako akifa huwezi pata taarifa?Kijijini kwenu akifa hata usiyemjua taarifa zinasambaa, sembuse ndugu yako? Jamani tuache kujengana hofu, Ni kweli Tanzania ni kubwa mbona kila kinachotokea taarifa zinafika kila kona? Tuache kueneza hofu, Tuiombe serikali isaidie kupata taarifa sahihi.
 
Mkuu ndugu yako akifa huwezi pata taarifa?Kijijini kwenu akifa hata usiyemjua taarifa zinasambaa, sembuse ndugu yako? Jamani tuache kujengana hofu, Ni kweli Tanzania ni kubwa mbona kila kinachotokea taarifa zinafika kila kona? Tuache kueneza hofu, Tuiombe serikali isaidie kupata taarifa sahihi

Wapo wengi tu ambao wamefiwa na ndugu zao bila kupata taarifa, ukute ndugu kaondoka kijijini kwenda kutafuta maisha mji au mbali na kwao.
Hapo kwenye red hilo ndilo la kuomba, upo sahihi.


nafight with my weather[emoji23][emoji23]
 
Zile nyingine zilisemwa ni wahamiaji haramu.
Inahuzunisha waambie hata wahamiaji haramu ni binadamu. Inakatisha tamaa kiongozi wa polisi au serikali kujitetea kwa kusema eti ni wahamiaji haramu. Raia pia tujilinde kwa namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom