Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kupata wasiwasi na pale wami, tanzanite bridge, hata haya madaraja wanaita flyover napata wasiwasi nayo.YALIJENGWA KWA SIFA ZA KIJINGA ENZI ZA MFUGALE NA MAGUFULI. Sasa je, yatatoboa hata miaka 15? Hata barabara za kipindi hicho ni mashimo tupu.
Hakuna mattresses na Gabion?Hapo daraja lilijengwa kutozingatia ukubwa wa pressure ya maji endapo ikitokea mvua kubwa...
Bila shaka udongo wa chini umetembea, ukadisturb egemeo la daraja upande linapokutana na ardhi...
Hakuna mattresses na Gabion?
DuuhSijui kingo au miguu ya nguzo ilivyojengwa...
Baada ya kufatilia naona wenye daraja wanasema chanzo ni moja nguzo imetitia, hivyo daraja likanepa...
Meku huo mto ni mpana sana wao walijenga daraja jembamba kupitisha pikipiki zinazobeba mkaa....hilo daraja lilipaswa liwe pana pia libebe nguzo kubwa ambazo zinamuda maji yenye kasi yeyoteSijui kingo au miguu ya nguzo ilivyojengwa...
Baada ya kufatilia naona wenye daraja wanasema chanzo ni moja ya nguzo imetitia, hivyo daraja likanepa...
Hacha chuki za kijinga upo kwenu huko mbwinde hukute ata hilo Daraja kajenga MFUGALE HAUJAWAI PITA,Kwa taharifa yako lile daraja ni chuma cha Pua juzi kati Semi la Mafuta limepiga kingo zake likiwa kwenye Speed 80 na bado likabaki strong.Naanza kupata wasiwasi na pale wami, tanzanite bridge, hata haya madaraja wanaita flyover napata wasiwasi nayo.YALIJENGWA KWA SIFA ZA KIJINGA ENZI ZA MFUGALE NA MAGUFULI. Sasa je, yatatoboa hata miaka 15? Hata barabara za kipindi hicho ni mashimo tupu.
Ujinga ni tatizo kubwa sana.Naanza kupata wasiwasi na pale wami, tanzanite bridge, hata haya madaraja wanaita flyover napata wasiwasi nayo.YALIJENGWA KWA SIFA ZA KIJINGA ENZI ZA MFUGALE NA MAGUFULI. Sasa je, yatatoboa hata miaka 15? Hata barabara za kipindi hicho ni mashimo tupu.
Siku lidondoke lile la KijaziSalender Bridge mpaka leo ipo tu
Ujenzi ukijengwa na mtanzania kuhusu uimara sahau,ikitokea jambo
Kisingizio wanacho cha mvua
Na sahvi zile daraja na barabara walizojenga kiupigaji na utapeli
Zote zinaumbukaa kutokana na mambo ya mvua
Ova
It was first constructed in 1929 and is named after John Einar Selander , Tanganyika's first Director of Public Works.Salender Bridge mpaka leo ipo tu
Ujenzi ukijengwa na mtanzania kuhusu uimara sahau,ikitokea jambo
Kisingizio wanacho cha mvua
Na sahvi zile daraja na barabara walizojenga kiupigaji na utapeli
Zote zinaumbukaa kutokana na mambo ya mvua
Ova
Nadhani wanafeli katika kupima ardhi na miamba ardhini ili kusimika nguzo kufika kwenye tabaka husika ili zihimili mitetemo, na uzito upitao,study za mikondo ya maji na rekodi zake, nature ya eneo, yote haya ni ya msingi mno kwa engineer kufahamu hasa activities za nature ya eneo!.Mfugale, Kijazi, Tanzanite yako strong kaka.
Inategemea, Saa nyingine design aikufanyika vizuri. Hii pia inatokana pia kama investigation to know the underlying materials ilifanyika na mtu anayejua. Hiyo sehemu kama sikosei underlying material is alluvial soil which normally is very soft or very loose and require friction piles to go a bit deeper depth to support the bridge. Sasa kama hayo hayakufanyika na watu wanaojua basi kunaweza kukatokea settlement ya daraja na uharibifu mwingine.Mkandarasi aliyejenga hapo awajibike hata kama imepita miaka 5, sheria zetu baadhi ni mbovu sana mkandarasi anapojenga kitu kama daraja hupaswa kuiguarantee serekali "" life time of bridge"" miaka 50-100. Wenzetu ngambo hufanya hivyo!
ATC lile bweni la wasichana jipya lililojengwa na wabongo lina rangi kama njano ni bovu lina tap chache za maji zinazofanya kazi wanafunzi wanapiga foleni kuoga asubuhi.Tanzania mainjinia ni tia maji tia maji,Kuna rafiki yangu alikuwa anasoma ATC,alinisimulia tukio moja hapo ATC kwenye bweni lao.Uongozi wa chuo ulifanya maamuzi ya kubadili sakafu kwenye bweni ambalo lilijengwa na wajerumani,Mwisho ilikuwa vichekesho yaani ni bandika bandua, bandika bandua.
Licha ya chuo kuwa na mainjia kibao wa kibongo lakini walishindwa kuweka sakafu yenye ubora kama ya mjerumani,ikawa wakija kukagua wanaona wapi.Bongo bado sana.
View attachment 2837070
Daraja la Mto Mpiji ambalo lipo mpakani na linalounganisha Wilaya ya Bagamoyo na Mkoa wa Dar es salaam limefungwa kutumiwa na Waendesha magari na vyombo vingine vya usafiri baada ya sehemu ya daraja hilo kutitia na kupelekea uwepo wa shimo kubwa ambalo linahatarisha usalama wa Watu.
Kwa sasa wanaoruhusiwa kupita kwenye daraja hili ni Watembea kwa miguu pekee na kama una gari lako au usafiri mwingine utalazimika kuuacha upande wa pili na kupita hapa kwa miguu.
Tayari Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Saad Mtambule na Vyombo vingine vya ulinzi na usalama vipo hapa darajani ili kuimairisha ulinzi na usalama.
AyoTV ipo eneo la tukio kuendelea kukufahamisha yote yatakayojiri. #MillardAyoUPDATES
Kwa alama walizoacha watavuma mileleIla maisha aisee...
Hao jamaa walivuma hao..
Dah.. Mungu huyuu!!