mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Naona ishafunguliwa watu wanapitaUjenzi wao huwa hautegemei Mvua ikinyesha kidogo unaona makosa Nchi ngumu sana hii...
Jana kuna mtu alikwama nkampa ramani ya kuitafuta old bagamoyo Road unatokea mpaka kialaka
Ukimsikia rc nikama alikuwa anawazjngusha watu sjui wapitie chalinze mara wapi [emoji1]
Kweli nmeamini bado watu wengi geography ya tz hawaijui
Ova