Daraja kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo limefungwa

Hapo daraja lilijengwa kutozingatia ukubwa wa pressure ya maji endapo ikitokea mvua kubwa...

Bila shaka udongo wa chini umetembea, ukadisturb egemeo la daraja upande linapokutana na ardhi...
 
Ma engineer wa bongo wanachoweza kufanya kwa usahihi ni kubandika mabango ya "nani kama mama" lakini kazi zingine tukiri wazi tuu kua wameshindwa kwa asilimia zote, kazi wapewe wachina tuu barabara na madaraja waliyo tengeneza hao waswahili ni uchafu na vichekesho kabisa
 
Sijui kingo au miguu ya nguzo ilivyojengwa...

Baada ya kufatilia naona wenye daraja wanasema chanzo ni moja ya nguzo imetitia, hivyo daraja likanepa...
Meku huo mto ni mpana sana wao walijenga daraja jembamba kupitisha pikipiki zinazobeba mkaa....hilo daraja lilipaswa liwe pana pia libebe nguzo kubwa ambazo zinamuda maji yenye kasi yeyote
 
Hacha chuki za kijinga upo kwenu huko mbwinde hukute ata hilo Daraja kajenga MFUGALE HAUJAWAI PITA,Kwa taharifa yako lile daraja ni chuma cha Pua juzi kati Semi la Mafuta limepiga kingo zake likiwa kwenye Speed 80 na bado likabaki strong.
 
Ujinga ni tatizo kubwa sana.
 
Salender Bridge mpaka leo ipo tu

Ujenzi ukijengwa na mtanzania kuhusu uimara sahau,ikitokea jambo
Kisingizio wanacho cha mvua

Na sahvi zile daraja na barabara walizojenga kiupigaji na utapeli
Zote zinaumbukaa kutokana na mambo ya mvua

Ova
Siku lidondoke lile la Kijazi
 
Limeshaanza kupitika upande mmoja,mabasi,malori,magari,madogo,Bajaj,pikipiki,guta,baiskeli,matorori,waenda kwa miguu na wanyama wote kwa Sasa wanapita na ukarabati unaendelea kwa kasi.
 
Salender Bridge mpaka leo ipo tu

Ujenzi ukijengwa na mtanzania kuhusu uimara sahau,ikitokea jambo
Kisingizio wanacho cha mvua

Na sahvi zile daraja na barabara walizojenga kiupigaji na utapeli
Zote zinaumbukaa kutokana na mambo ya mvua

Ova
It was first constructed in 1929 and is named after John Einar Selander , Tanganyika's first Director of Public Works.
 
Mfugale, Kijazi, Tanzanite yako strong kaka.
Nadhani wanafeli katika kupima ardhi na miamba ardhini ili kusimika nguzo kufika kwenye tabaka husika ili zihimili mitetemo, na uzito upitao,study za mikondo ya maji na rekodi zake, nature ya eneo, yote haya ni ya msingi mno kwa engineer kufahamu hasa activities za nature ya eneo!.
 
Mkandarasi aliyejenga hapo awajibike hata kama imepita miaka 5, sheria zetu baadhi ni mbovu sana mkandarasi anapojenga kitu kama daraja hupaswa kuiguarantee serekali "" life time of bridge"" miaka 50-100. Wenzetu ngambo hufanya hivyo!
Inategemea, Saa nyingine design aikufanyika vizuri. Hii pia inatokana pia kama investigation to know the underlying materials ilifanyika na mtu anayejua. Hiyo sehemu kama sikosei underlying material is alluvial soil which normally is very soft or very loose and require friction piles to go a bit deeper depth to support the bridge. Sasa kama hayo hayakufanyika na watu wanaojua basi kunaweza kukatokea settlement ya daraja na uharibifu mwingine.
 
ATC lile bweni la wasichana jipya lililojengwa na wabongo lina rangi kama njano ni bovu lina tap chache za maji zinazofanya kazi wanafunzi wanapiga foleni kuoga asubuhi.
 


Kamateni mkandarasi huyo na weka ndani miaka 10 na itangazwe kila wiki kuwa aliibia serikali kwa kujenga daraja chini ya kiwango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…