Daraja la Busisi ni refu zaidi Afrika Mashariki na Kati

Daraja la Busisi ni refu zaidi Afrika Mashariki na Kati

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
owm_tz~p~CjzQUUyDf81~6.jpg

Ilikuwa kama masihara hivi Hayati Magufuli alipoahidi atajenga daraja la Busisi lenye urefu wa zaidi ya kilomita 3. JPM kama alivyoahidi ujenzi ulianza mara moja.

Hapo juu ni ujenzi wa daraja la Busisi likiendelea kujengwa na sasa ujenzi wake umezidi 50%.

Pongezi za dhati zimwendee Rais Samia kwa kuuendeleza mradi huo ambao utarahisisha mwingiliano wa nchi tatu za Burundi, Rwanda na Uganda.

R.I.P JPM.
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?

Hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
Upo sahihi ni mradi wa ovyo sana usio na faida ila aliyejenga lile daraja ni JK sio JPM
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
Hahahaha, mwenzetu unaishi mkoa gani? Sisi wanaopita hapo kutoka sehemu za Tegeta, Mwenge kwenda Posta tumeshaona faida la hili daraja.

Yani hatupotezi masaa mengi katika foreni za magari mpaka tumeshasahau usumbufu wa foreni ya zamani eneo hilo. Cha ajabu, hata barabara ya zamani nayo foreni imesha. Usikae tu kijijini njo utembee na Dsm pia.
 
Binafsi ukiachana na Nyerere, Mkapa pamoja Magufuli ndio marais Bora kabisa kwa nchi yetu.Magufuli sifa ya kuu nd ndio maraisi tuliwahi kuwa nao wameshindwa kuwa navyo ni mfuatiliaji na msimamizi mzuri na ndio maana miradi Mingi ilikuwa inatekelezwa kwa wakati mfano mzuri ile flyover ya ubungo ingekuwa kipindi Cha nyuma ingekamilika miaka 6 na kuendelea.

Mradi wa maji wa ubongo na maeneo ya mbezi jk kaondoka ikiwa upo lakini maji hayatoki baada ya kuingia Magufuli tu ukuanza kutoa maji na shida ya maji ikiwa history kwa wiki maji yanatoka siku si chini ya siku 4.Magufuli akishaahadi kitu lazima akipambanie kitekelezeke.

Ziara nyingi alizokuwa anazifanya mikoani hawezi kuondoka bila kutatua tatizo na ndio maana alikuwa anakubalika Sana kama kulikuwa na Ufisadi kwenye miradi pale pale watu wanatumbuliwa.
 
Binafsi ukiachana na Nyerere, Mkapa pamoja Magufuli ndio marais Bora kabisa kwa nchi yetu.Magufuli sifa ya kuu nd ndio maraisi tuliwahi kuwa nao wameshindwa kuwa navyo ni mfuatiliaji na msimamizi mzuri na ndio maana miradi Mingi ilikuwa inatekelezwa kwa wakati mfano mzuri ile flyover ya ubungo ingekuwa kipindi Cha nyuma ingekamilika miaka 6 na kuendelea.

Mradi wa maji wa ubongo na maeneo ya mbezi jk kaondoka ikiwa upo lakini maji hayatoki baada ya kuingia Magufuli tu ukuanza kutoa maji na shida ya maji ikiwa history kwa wiki maji yanatoka siku si chini ya siku 4.Magufuli akishaahadi kitu lazima akipambanie kitekelezeke.

Ziara nyingi alizokuwa anazifanya mikoani hawezi kuondoka bila kutatua tatizo na ndio maana alikuwa anakubalika Sana kama kulikuwa na Ufisadi kwenye miradi pale pale watu wanatumbuliwa
Mkuu mbona una wivu wa kujinga
Kuna vitu vingine si vya kupinga pinga tu wakati vinaonekana wazi mkuu chuki azisaidii kama kufa kashakufa sababu ya kumuonea wivu ni nini
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
Wedada acha ujinga...
 
Hahahaha, mwenzetu unaishi mkoa gani? Sisi wanaopita hapo kutoka sehemu za Tegeta, Mwenge kwenda Posta tumeshaona faida la hili daraja. Yani hatupotezi masaa mengi katika foreni za magari mpaka tumeshasahau usumbufu wa foreni ya zamani eneo hilo. Cha ajabu, hata barabara ya zamani nayo foreni imesha. Usikae tu kijijini njo utembee na Dsm pia.
Foleni au Foreni....?
 
Binafsi ukiachana na Nyerere, Mkapa pamoja Magufuli ndio marais Bora kabisa kwa nchi yetu.Magufuli sifa ya kuu nd ndio maraisi tuliwahi kuwa nao wameshindwa kuwa navyo ni mfuatiliaji na msimamizi mzuri na ndio maana miradi Mingi ilikuwa inatekelezwa kwa wakati mfano mzuri ile flyover ya ubungo ingekuwa kipindi Cha nyuma ingekamilika miaka 6 na kuendelea.

Mradi wa maji wa ubongo na maeneo ya mbezi jk kaondoka ikiwa upo lakini maji hayatoki baada ya kuingia Magufuli tu ukuanza kutoa maji na shida ya maji ikiwa history kwa wiki maji yanatoka siku si chini ya siku 4.Magufuli akishaahadi kitu lazima akipambanie kitekelezeke.

Ziara nyingi alizokuwa anazifanya mikoani hawezi kuondoka bila kutatua tatizo na ndio maana alikuwa anakubalika Sana kama kulikuwa na Ufisadi kwenye miradi pale pale watu wanatumbuliwa.
EfKjCp3X0ActKyg.jpeg
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
Katika kundi la watu wapumbavu na ambao watadumu na upumbavu wao hadi wanaingia kaburini, hamna njia yoyote ya wewe kujitoa humo.
 
Eti masihala,kujenga miradi ambayo sio kipaumbele cha taifa bali cha kiongozi binafsi!!mfano lile daraja la tanzanite limeongeza tija gani kwa eneo lilipowekwa?

Hizo pesa zilizotumika pale kuna sehemu zingepelekwa zingeonekana zimeleta tija nzuri zaidi!!Leo mnakuja kupiga kelele eti mama anakopa sana hayo mamiradi yaliyoanzishwa kwa MZUKA,yatakamilika vipi,bila kukopa?ial MUNGU FUNDI
Ila darana la mto Wami kujengwa sawa! Kwa kuwa linaenda kwenu!😂😂😂😂
 
Haliitwi daraja la Busisi, nenda kapekue upya then tuandikie jina sahihi hapa.
 
Back
Top Bottom