masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kuna mtu anabisha?Siyo kweli, Busokelo ni CCM pure!
CCM ndio chama chetu lakini hatujui kwa nini tunaadhibiwa , toka kwa Mkapa, Kikwete na Magufuli.Endeleeni kuichagua ccm na hayo ndiyo malipo.
CHADEMA wabaya sana ,wamesababisha hata mvua isinyeshe ndiyo maana Dar Kuna mgao wa maji na umeme.Siyo kweli, Busokelo ni CCM pure!
5 tena kwa ccmCCM ndio chama chetu lakini hatujui kwa nini tunaadhibiwa , toka kwa Mkapa, Kikwete na Magufuli.
Common denominator hapo, miaka yte waziri anayehusika na ujenzi ni Magufuli.
Mazuzu hapo umewatia ndimu subiri watakavyo kurupuka kukupongezaCHADEMA wabaya sana ,wamesababisha hata mvua isinyeshe ndiyo maana Dar Kuna mgao wa maji na umeme.
Mkuu watu wakisema Magufuli alikuwa na roho mbaya hawaelewi.Masopakyindi wewe pamoja na kuwa mshawishi kindakindaki umeshindwa kushawishi serkali ya chama chako ijenge daraja lile lenye kutenganisha Rungwe na busokelo. Busokelo ikiwa eneo lenye uzalishaji wa zao la Chai,ndizi,ulezi,kahawa na kakao bila kusahau vivutio vya utalii hasa mabwawa adm ya asili ndani ya bonde la ufa kama ,iramba,kyungululu,King ili,itamba,ikapu etc
CCM waneshindwa kujenga daraja lile..huku wakikusanya ushuru mkubwa wa vyanzo tajwa hapo juu..
Ongeza sautiiiiiiMazuzu hapo umewatia ndimu subiri watakavyo kurupuka kukupongeza
Nimepita hiyo bara bara mbona kuna wachina wanaendellea na kazi.Siyo kweli, Busokelo ni CCM pure!
Foooooo foooooo foooooo fooooooOngeza sautiiiiii
Wanasubiri kwanza daraja la Busisi, kuelekea Chato likamilike!Katika miaka 25 ambayo Magufui amekuwa kinara wa ujenzi wa mabarabara nchi, barabra ya Busokelo -Tukuyu imetia fora kwa kusuasua!
Hivi leo ni mwaka wa 26 sasa, hakuna fedha zinenda kwenye mradi wa barabra hii muhimu.
Wananchi wamelia na serikali lakini wapi.
Jionee mwenyewe Mwenyekiti wa Halmashauri Busokelo akilalamika kuwa barabara zingine za makilometa 100 zinatengewa fedh na zinakamilika, lakini si hii barabara.
Kunani TANROADS?
Tazama video hii
Sasa kawamaliza wapinzani lkn mwendo ni uleule wa kobe"wapinzani waritucherewesha Sana"
Kinachofanyika yaani kusuasua mradi kwa miaka 25 ni ubaguzi wa wazi kimaendeleo.Katika miaka 25 ambayo Magufui amekuwa kinara wa ujenzi wa mabarabara nchi, barabra ya Busokelo -Tukuyu imetia fora kwa kusuasua! Hivi leo ni mwaka wa 26 sasa, hakuna fedha zinenda kwenye mradi wa barabra hii muhimu.
Wananchi wamelia na serikali lakini wapi.
Jionee mwenyewe Mwenyekiti wa Halmashauri Busokelo akilalamika kuwa barabara zingine za makilometa 100 zinatengewa fedh na zinakamilika, lakini si hii barabara.
Kunani TANROADS?
Tazama video hii
Ah! Si tunasmbiwa wamethubutu,wameweza na wanasonga mbele ama?Endeleeni kuichagua ccm na hayo ndiyo malipo.
Kwani kwwnye vikao vya chama wanasemajeKatika miaka 25 ambayo Magufui amekuwa kinara wa ujenzi wa mabarabara nchi, barabra ya Busokelo -Tukuyu imetia fora kwa kusuasua! Hivi leo ni mwaka wa 26 sasa, hakuna fedha zinenda kwenye mradi wa barabra hii muhimu.
Wananchi wamelia na serikali lakini wapi.
Jionee mwenyewe Mwenyekiti wa Halmashauri Busokelo akilalamika kuwa barabara zingine za makilometa 100 zinatengewa fedh na zinakamilika, lakini si hii barabara.
Kunani TANROADS?
Tazama video hii