Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya UEFA limekaaje kitaalam mbona kama haliko sawa hivi.

Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.

Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.

Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
1653729277879.png
 
Swali la kujiuliza ni kuwa uzito ukielemea sehemu Moja kwa muda mrefu je haitaleta madhara maana sio baada ya hapo mara daraja lina ufa au mkaja kutumbukia baharini mkaangalie UEFA na samaki
 
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi

Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Eleza vizuri, dalaja gani? Wapi? Nani kasema? Si watanzania wote wameskia hiyo habari unayolalamikia.
 
Back
Top Bottom