Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

Halafu wanatoa kisingizio cha kutangaza utalii huku wakijikosha kwa kusema wataweka muvi ya roho tua
jamani hivi mnatuonaje sisi watalii?
 
Hili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya uefa limekaaje kitaalam mbna kama haliko sawa hivi

Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho .
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya hanasa .
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
Yaani mtu upo Tunduru vijijini halafu unalalamikia daraja kufungwa.
Jumamosi ni wikendi hakuna foleni pia ni Siku ya kula bata kwahiyo tunaenda kula bata darajani.
Kama imeumia piga mbizi.
 
Halafu wanatoa kisingizio cha kutangaza utalii huku wakijikosha kwa kusema wataweka muvi ya roho tua
jamani hivi mnatuonaje sisi watalii?
Watumishi wanavyopenda kujipendekeza, walivyoambiwa royo tuwa, kama nawaona tena hakuna mtu aliye reason, siyo watu wa OSHA wala NEMC wala TANROADS, nahisi vibali viligongwa muhuri Kwa speed ya radi!
Ofisi zote! 😂 😂

Kila la heri!
 
Mazuri ni kufunga daraja??

Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!

Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
Umenielewa lakini nilichomaanisha naomba usome vizuri alafu ifafanue hio sentence ndio utaelewa nilicho maanisha . Kiufupi tu sisi ni maskini lakini atutaki kujifunza kwa matajiri Jinsi ya kuwa serious dhidi ya miundombinu ya nchi na tunataka kuwa Kama matajiri lakini atutaki kuiga userious wao hao watajiri
 
Sio “hanasa“ na wewe. Wamekuambia “anasa”. Bado umekomaa na “hanasa”. Nyie vijana wa 2000 + mnaharibu kiswahili.
kwaiyo wew ndo umeona ilo kosa sio?
 
Wewe si mbunifu that's why umetoa hayo maoni yako ya kwenda mbugani
Tuombe Mungu watu wa aina yako wasiwe kwenye decision-making tables manake kama umeona huu ni ubunifu, una tatizo mahali!
 
Umenielewa lakini nilichomaanisha naomba usome vizuri alafu ifafanue hio sentence ndio utaelewa nilicho maanisha . Kiufupi tu sisi ni maskini lakini atutaki kujifunza kwa matajiri Jinsi ya kuwa serious dhidi ya miundombinu ya nchi na tunataka kuwa Kama matajiri lakini atutaki kuiga userious wao hao watajiri
Pamoja! Nime read between the lines!

Usemacho ni kweli kabisa!

Public open spaces, Leaders, Tanganyika Packers, Mbagala kule, stadiums Taifa Karume kupo!
Ila wameona Bora wafunge daraja, eti weekend hakuna foleni!

Wabongo wanywe mibia na kunya ovyo, watupe michupa ovyo, wakojoe kila mahali, ndiyo tutajua hatujui!
Mama yangu Tanzania..in Mbatiaz voice!
 
Back
Top Bottom