Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Sio “hanasa“ na wewe. Wamekuambia “anasa”. Bado umekomaa na “hanasa”. Nyie vijana wa 2000 + mnaharibu kiswahili.yote ni madudu tu daraja linatakiwa kufungwa kwa ajili ya ukarabati na matengenezo tu na si mambo ya hanasa