Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

Daraja la Tanzanite kufungwa kuangalizia fainali UEFA, Serikali iko wapi?

Mazuri ni kufunga daraja??

Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!

Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
We jamaa acha nongwa mitaani tunafunga mitaa kwa kucheza rusha roho
 
Tuombe Mungu watu wa aina yako wasiwe kwenye decision-making tables manake kama umeona huu ni ubunifu, una tatizo mahali!
Hakuna mwenye anamiliki standard ya kufiikiria...kila mtu anauwezo wake katika kupambanua mambo..so usimuoverate au kumuunderate mwenzako...
 
We jamaa acha nongwa mitaani tunafunga mitaa kwa kucheza rusha roho
Mkiambiwa ukweli nongwa!
Event manager!
Event yenu ingeenda maeneo husika, viwanja vya michezo, maeneo ya wazi!

Mitaani! Gharama ya kutengeneza barabara shs30,000!
Mitaani kila mtu ni polisi jamii! Maana mtaa Una nyumba!
Na shughuli nyingi za rusha roho hazina pombe. Kiingilio macho na masikio!

Sijawahi kuona rusha roho Mtogole Sinza eti barabara ya lami imefungwa!
 
Awamu ya kula bata hii.

Watu pesa tunaokota barabarani.

Muda si mrefu nitawalipa mahela nisongee ugali hapo kati kati ya Daraja.

Na nitaitwa mwekezaji.
 
Ndio uone ujinga wa sie watanzania....mbona wao hawaonyeshi mechi zetu kwenye madaraja yao....alafu wakituita manyani tunalalamika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mazuri ni kufunga daraja??

Kwanini wasipeleke viwanja vya michezo screens Taifa, Karume basi!? Na mechi ikaangaliwa huko!?
Kwenye miundo mbinu yote yenye kuzingatia afya na usalama!? Kuanzia mahali pa kukaa mpaka vyoo!

Open public spaces zote wameziuza, badili matumizi, kiholela..!
Sijui watakunya wapi [emoji23][emoji23][emoji23] au ndio wataleta mobile toilet
 
Nilikuwa nasikia matangazo yao wanasema darajani,nikawa nahisi ni pale uwanja wa Chelsea,kumbe ni hapa bongo!,kwel huo ni ujinga
 
Unadhani ni shillingi ngapi ambayo itaingia kwa leo tu kwa kuuza bia pale na serikali itavuta chake??? kupewa kibari unadhani imelipiwa shilingi ngapi? polisi kusimamia usalama unadhani wanafanya bure? Ajira za muda ni ngapi zimetengenezwa kama kuuza vyakula? mambo ya usafiri kama bajaj na bodaboda na wale wa little ride au bolt!

Uzuri kuna option ya barabara sio kwamba ndio tegemeo tu!

Kwa watu wanaopenda mpira wala hawana wasi wasi juu ya ili lakini wasiokunywa bia lazima wawe na makasiriko sana!! kwa kuwa niko kwenye creativity nampongeza aliyetoa idea
Basi tugeuze kibanda umiza mazima tuanze fanya harusi pia na mikutano ya adhara
 
Sijui watakunya wapi
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
au ndio wataleta mobile toilet
Hazijawahi kuzuia binadamu kutoharibu mazingira,
Kwanza wabongo wanadai mobile toilets vinawaleteaga UTI hawaingiagi humo!
 
Back
Top Bottom