wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,107
MkuuHili suala la kufunga daraja kwa ajili ya mechi ya UEFA limekaaje kitaalam mbona kama haliko sawa hivi.
Serikali iko wapi maana hili sio la kufumbia macho.
Huduma muhimu zinasitishwa kwa ajili ya anasa.
Je? daraja lilijengwa ili iwe ni sehemu ya kuangalizia mpira.
View attachment 2242047
Kama una pesa yako ni ruksa kulipia na kufunga barabara ambayo ikifungwa haitaleta athali kwa watumia road