FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hakuna siku ina foleni kali kama jumamosi saa mbili usiku, kila mtu anawahi ukumbini kwenye harusi, hili usibishe.Yaani mtu upo Tunduru vijijini halafu unalalamikia daraja kufungwa.
Jumamosi ni wikendi hakuna foleni pia ni Siku ya kula bata kwahiyo tunaenda kula bata darajani.
Kama imeumia piga mbizi.